Team ya kwanza lowasa ,Sumaye,team ya pili Mbowe mnyika ,team ya Tatu Lema,sugu,team ya nne msigwa ,tundu Lisu team ya tano halima mdee,mwalimu na wenje
Mashuja hupatikana nyakati ngumu kusinge kuwa na mashuja iwapo Dunia isingekuwa inapita kwenye vipindi vigumu,kwasasa msaga sumu ni msanii aliye ongeza thamani yake kubwa Sana kipindi hiki huyu ni shujaa wa watu wenye akili
I
Hivi hawa ccm Sifa ya kuwa mwenyekiti ni ninii namwangalie ndugu abdallah bulembo mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi na huyu msukuma mwenyekiti wa mkoa wa geita nabaki sielewi elewi
Me binafsi nina pikipiki na Gari siku Za weekday natumia pikipiki Gari natumia weekend na ucku Kwa cku Za Kazi.kwani hiii monyororo miirefu ya kutoka katikati ya jijiii na kuludi njee ya jijiii sii weziii.
Hao ndio wanawake haswa mheshimiwa lowasa alisema kuwa haikuwa Kazi rahisi kumshawishi mama Regina ili amruhusu mume wake kutoka ccm na kuhamia chadema lakini mama Regina Kwa ushawishi mkubwa wa Mzee lowasa mama alikubali kuruhusu Mzee lowasa kwenda chadema pia mama naye pamoja na familia nzima...
Kweli mambo ya siasa magumu Sana ole Millya alifanya maamuzi magumu Kwa kuondoka ccm kwenda CDM na kumuacha baba yake lowasa ccm Leo hii wote wako CDM .kweli nani kaona kesho???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.