mwaarabu wa dubai
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 100
- 44
Kweli mambo ya siasa magumu Sana ole Millya alifanya maamuzi magumu Kwa kuondoka ccm kwenda CDM na kumuacha baba yake lowasa ccm Leo hii wote wako CDM .kweli nani kaona kesho???
Mkuu nilikuwepo sendeka mr 0 kwishinei.