Mimi swali langu ni kuwa unalipwa kwa idadi ya kilo za nyama tu?? Vipi kuhusu ngozi? Makongoro, kichwa nk? Maana kwenye ngozi lazima wana subsidiary business. Kama vipi wakishangilia nyama watuite tukachukue hayo masafa mengine tukapige biashara mtaani wasitufanye wajinga, eboo (utadhani...
Mkuu Brela ni usajili na si watoaji wa leseni. Nadhani namba 1 ni sahihi ila namba 4 ni mamlaka inayohusika na hiyo biashara au halmashauri ya eneo alilopo
Wanajamii, wasalaam
Nina ndoto ya kufungua biashara ya sabuni za kufulia kwa maana ya kufungua kiwanda. Kwenye tafiti nilizofanya kwa maana ya mashine/ mtambo toka chini itaigharimu kama milioni mia moja kuanza biashara hii. Naomba kama kuna aliyepo kwenye biashara hîi tayari anisaidie a,b,c...
Kama kweli anamaanisha basi option nyepesi kwake ilikuwa ni kujiuzulu ili amtengenezee mama mazingira mazuri ya kazi yasiyo na makunyanzi. Anasema ‘inawezekana’ hekaheka zao zilipelekea umoja wa vijana kutetereka. Inaonekana hana uhakika au ni mnafiki. Ukweli ni kuwa kauli na ‘maagizo’ yake...
Angeanza kuandika hii post bila kuanza na " Maoni ya Mwanakijiji baada ya...." swali lako la pili lingekuwa valid. Soma tena post yake utaelewa
Halafu ningependa kujua kama hii nayo ni ID ya Mwanakijiji ?
Angeanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.