250usd/dayTarangire mkuu
Hii ni gari tu au na gharama za utalii?? self drive au unaendeshwa?250usd/day
Unaendeshwa na gharama za kuingia hifadhiniHii ni gari tu au na gharama za utalii?? self drive au unaendeshwa?
Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.Unaendeshwa na gharama za kuingia hifadhini
Inafuatana na aina ya wanyama unaotaka kuwaona,nadhani mpaka umechagua tarangire umefanya research wanyama gani unawaona kwa urahisi huko.Hivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.
Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Tarangire ni 120km hivi tokea Ar, ukidamka 11 saa 2 upo getini unapiga game drive hadi jioni ila hakikisha saa 12 ushatoka hifadhini kuepuka penalty. Kuhusu wanyama Tarangire wapo sana haswa kama ukifika Silale kule na huu msimu wa kiangaziHivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.
Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Nikitaka kulala mkuuUnaendeshwa na gharama za kuingia hifadhini
Extra charges kwa malazi camping ni gharama ndogo tofauti na lodges zilizopo hifadhiniNikitaka kulala mkuu
Ok mkuu ntakutafutaExtra charges kwa malazi camping ni gharama ndogo tofauti na lodges zilizopo hifadhini
KaribuOk mkuu ntakutafuta
Ndugu wanaJF naomba kufahamu kuhusu gharama za sasaivi za bei ya gari ya kwenda mbugani (Landcruiser). Kutokana na kushuka kwa safari za utalii kwa sasa bei za kukodi gari zimepungua?
Gharama kwa siku ni kiasi gani?
Nipo Arusha, natanguliza shukrani.
View attachment 1975021
Njoo DM tuchangie mafuta hair yangu mimi naenda kesho!Ndugu wanaJF naomba kufahamu kuhusu gharama za sasaivi za bei ya gari ya kwenda mbugani (Landcruiser). Kutokana na kushuka kwa safari za utalii kwa sasa bei za kukodi gari zimepungua?
Gharama kwa siku ni kiasi gani?
Nipo Arusha, natanguliza shukrani.
View attachment 1975021
Na Ngorongoro day trip ni bei gani?250usd/day
Tarangire hiyoHivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.
Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
Welcome to Tarangire National parkHivi Tarangire na Ngorongoro wapi kuna wanyama wengi maana nimefika Ngoro2 ila Tarangire sijaenda.
Kutoka Arusha wapi ni karibu namaani shaweze kutoka Ar nikatalii na kugeuza kuepuka kulipa $500?
bei ya mzawa je ?250usd/day
Safari inaanzia wapi?Na Ngorongoro day trip ni bei gani?
Tujichange watu nane