Naamini unawaza tu, ila hujaanza.
Ukianza ndo utajua kukosea huana kwenye kuwaza,,
Unawezaje kuwaza kufeli, kushindwa!!
Nakushauri ukawaulize makahaba kwanza nini zaidi wanakifurahia, na wanafaidika na nini huko, na kama kuna kosa wanajutia waulize ni wapi,,
Wao wanajua zaidi,