Kuna watu humu jamvini sijui kwa kutokujua dunia ya sasa inaendaje au kwa ubishi tu wa kijinga au sijui niseme nini, hivi kuna nchi ya ulimwengu wa tatu ambayo haitegemei misaada? Hivi Mugabe na kiburi chake leo Zimbabwe iko wapi? Kama taifa kama China lenye uchumi mkubwa sana lakini inapotokea...
Mkuu kwa mawazo yangu Mungu alikua upande wako, just imagine kama mngekua mpo pamoja then akakukaribisha huko Saudia na ukaenda ,katika tukio police wanakukuta uko nae, si nawewe si ungekuwa hatiani? Huna sababu ya kumfikiria sana haijarishi Alikuwa na umri gani, huenda huo upunda alianza muda...
Sasa kama uhusiano ulisha vunjika na mawasiliano hakuna kinachokuumiza ni nini? unajuaje huenda alipata mbadala wako ndie akamtumbukiza kwenye hiyo biashara kharam? Hebu tafakari!! Ni mawazo yangu tu.
Nakubaliana na wewe kwa 100% haiwezekani mkeo akam hug mwanaume tena kwa bashasha, jitu akazungusha round kabla haja mtambulisha kwako wewe ni nani, jitu anamchukua mkeo kwenda kwenye meza yake yenye midume tupu!! Yoote hayo unatazama tu
tu!! Huyu jamaa ni Bushoke kamili aisee!!
Wakuu watu tunatofautiana, mimi huwa na enjoy zaidi akilala na nnapo ichojoa pichu mzuka hunipanda mara mbili, nakua nafeel kama vile navumbua dhahabu kwenye hazina
Story ya kutunga hii!! Mwanamke umekutana nae mara ya kwanza hajakufaidi kwa kukuchuna na wala hujawahi kusumbuliwa na mkeo na ushamdadavua akuharibie ili Iweje? Hizo ni hadithi za jogoo aliesema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.