Nimenasa ushauri

Nimenasa ushauri

Huyo mwanamke kama mjanja anaweza kutoka bila jamaa kujua. Amuwekee maji chooni ajifanye anataka kumpa mahaba ya kumuogesha na huku anaitwa na tabasamu la mapenzi ndani ya kanga nyepesi.

Ndo unavyofanya ukiingiza jamaa ndani?
 
Huyo mwanamke kama mjanja anaweza kutoka bila jamaa kujua. Amuwekee maji chooni ajifanye anataka kumpa mahaba ya kumuogesha na huku anaitwa na tabasamu la mapenzi ndani ya kanga nyepesi.
Kumbeeeeee!!!!! Kunasiku niliogeshwa from nowhere tu. Sasa kuanzia leo.....nikiona mahaba yamezidi, naanza kusachi mpaka makabati.
 
Kuna mdada ambae tumekua tukidetiana kama miezi mitatu hivi na alinambia hana mtu kwani mtu Wake yupo Gaborone jana kaniambia nimpitie kwake jioni tukapate dinner pamoja nikafika hapa kwake saa moja hivi usiku. mara mlango ukagongwa akauliza nani sauti ya kiume ikamwambia hebu fungua, akanambia mume wangu kaja akanikimbiza uvunguni mwa kitanda.
hadi sasaivi nimeshindwa kutoka na jamaa bado kalala nimesikia akimuuliza leo uendi kwako jamaa kamjibu alishaaga atarudi kesho, nifanyeje nitoke humu ndani nina njaa alafu naogopa aibu kama nikitoka sasaivi alafu tukakumbana na jamaa.

Hiyo ni message nimetumiwa na rafiki yangu ananiomba msaada.
Mimi nimepanga kwenda kituo cha polisi tukavamie humo kumnasua rafiki yangu.

Hii story mbona inarudiwa sana?
 
Huyo jamaa yaani siku ya kwanza tu kakubali kwenda kulala nyumbani kwa mwanamke? Duuh!! Hii ngumu kumeza.
 
Mwache tu humohumo mpk jamaa akiondoka hlf akitoka muulze swahiba je yy ni nani kwa huyo mdada
 
Mwambie jamaa nimecoment kwenye ukurasa wake wa insta mwambie afungue sasa hivi
 
Jamaa ametoka au polisi wamemsaidia kutoka

ndo kaachiwa kwa dhamana baada ya kumtishia huyu mdada kuwa nitaita polisi akawa anamtoa ndipo wakakutana na jamaa uso kwa uso ugomvi ukatokea polisi wakaja baada ya majirani kuwaita.
 
Back
Top Bottom