Hongera jeshi letu tukufu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.Tunajivunia weledi wenu!Ni aibu kubwa kwa raia kulizungumzia vibaya!unazuzungumza mabaya ili hali unaishi humu humu,kwa amani unakula na kwenda chooni!!tuwapuuze!wanafikir ni rahisi tu kuwa na amani.Mungu ibariki Tanzania,Mungu...
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ni jeshi lenye weledi mkubwa na nidhamu ya hali ya juu. Moja kati ya majeshi bora kabisa ulimwenguni.Ripoti hii ni juhudi za watu wabaya wasiotaka kutambua juhudi ya jeshi letu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.