Msaada anayeijua Tanga Tech

Msaada anayeijua Tanga Tech

Uta enjoy life hapo

Tanga Tech maarufu kama Tanga school

ilikuwa shule ya kwanza ya secondary ya serikali
ilianzishwa na wajerumani
mwaka 1895...
watu maarufu waliosoma hapo ni pamoja Jakaya Kikwete
Ditipile Mzuzuri na wengine weengi including mimi hapa...lol

Nenda uta enjoy
ukifika omba uwekwe bweni la Simba..huko kona wing moja maarufu inaitwa jamaica corner lol
ukiwekwa bweni la twiga utakuwa ----- lol
warembo wote huko wanaitwa Mbuni
since wana bweni moja tu linaitwa mbuni

go and have fun...
Mkuu umenikumbusha mbali sana...nilisoma hapo headmaster akiitwa TETi
 
Shule nzuri mazingira yake mazuri sana,inawezekana ikawa hiyo ndiyo shule ya serikali yenye mazingira mazuri kuliko zote baada ya Kibaha secondary
 
Ukifika ulizia Bweni la Nyati au Twiga yapo poa..kule Chui na Tembo utajuta..
 
Nimekusaidia?
Kaka yangu alisoma Tanga School ila 74 aliahimishiwa Moshi Tech sababu alichukua Electric na Tanga school hawakuwa na hiyo dept. Simtaji jina ataniua ila alimaliza Moshi Tech. 76 the same time as me nilipomaliza O level sisemi wapi ila one of the oldest girls schools in the country.
 
Kaka yangu alisoma Tanga School ila 74 aliahimishiwa Moshi Tech sababu alichukua Electric na Tanga school hawakuwa na hiyo dept. Simtaji jina ataniua ila alimaliza Moshi Tech. 76 the same time as me nilipomaliza O level sisemi wapi ila one of the oldest girls schools in the country.
Warsaw aka Tabora girls nini ulisoma?
 
Mmenikumbusha Tanga School, shule yangu. Mi nilikaa bweni la Twiga, linatazamana na Nyati, karibu na zahanati, mbele yake ni Mbuni. Nilikuwa kiranja wa usafi na mazingira, huko Mbuni kila j'mosi tulikuwa tunakwenda kwenye ukaguzi! Tanga Tech ilikuwa ni shule nzuri sana, sijui ss hv.
 
daaaah teti, kijazi mwalimu wa nidhamu sintomsahau
Ha haaa Teti alikuwa ananiogopesha. Yaani nikimuona natetemeka..akija assembly nahisi kujikojolea..nahisi suspension hiyooo inakuja kwangu. Hata kama hakuna kosa nililofanya. Tanga School ilikuwa nzuri sana enzi hizo
 
Back
Top Bottom