Acha kuleta porojo, moja ya qualification ya uzalendo ni kuchukia UOVU ktk serikali, Dada Mange yupo sahihi, hatuwezi kuwa na taifa ambalo linaongozwa pasipo kufuata sheria na taratibu za nchi, kikubwa jamaa wa kolomije ajitetee mwenyewe. HATUWEZI KUONGOZWA NA VILAZA.
Hii inadhihirisha taaluma kuingiliwa na siasa, kwenda shule lengo ni kuelimika lakini mtu anapoiweka taaluma kando na kufanya kazi kwa utashi wa kisiasa , ni kujidhushia heshima na kutoa dhana ya taaluma kwa utawsla bora. HAPA tusitegemee kuijenga Tanzania ya viwanda zaidi ya kukomoana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.