Recent content by Muumbaji Mwenza

  1. M

    ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

    Hujampata mjanja wako bado,usijiapize
  2. M

    Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

    Sahihisho:mke wa mwanamuziki wa MSONDO ni Lucy Bandawe,si Halima
  3. M

    Clouds radio mnajipendekeza kwa mama, huo ni uchawa

    Nonsense! Chuki humuangamiza mtu mjinga;kwahiyo ulitaka wasimsifie?
  4. M

    Mnaokaa mbali na wake zenu, ataliwa tu! Mjiandae kisaikolojia

    Tena wewe mwanangu mke wako mtamu balaa
  5. M

    Shemeji yangu aliyetangaza ukweni nimemtongoza leo anakuja mahali nilipo

    Sasa wewe mwenyewe umesikia tu anakuja kumtembelea dadaake(sio wewe),kwahiyo huna mamlaka ya maamuzi; usituchoshe pimbi tu wewe
  6. M

    Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe maisha ya Jacky yanakuhusu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. M

    Pete ya dhahabu yenye kidani chekundu

    Usisahau kutoa code za shekhe[emoji123]
  8. M

    Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti umekuja na 'ushahidi' mwenyewe! Mengine yakupitege tu
  9. M

    Nyumba ya Jackline Mengi yakumbwa na mafuriko

    Mbona unajitesa??? Tuoneshe ulivyomlipia mwanao mwaka huu hapo IST[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. M

    TANZIA Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Profesa Damian Gabagambi afariki dunia

    Yani waliomfahamu marehemu wamemuongelea positively, ila wewe tu na hiyo stori yako ya kusikia(?) Wewe na huyo jamaa yako,walewale tu!
Back
Top Bottom