Majengo yaliyokuwa yanatumiwa na serikali ni majengo ya ndaki ya elimu ya biashara na sheria (CBSL), pesa zilizotajwa ni kujenga ndaki sayansi asilia na hisabati (CNMS) pamoja na ndaki ya sayansi ya dunia na uhandisi (CoESE)
Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, ametangaza kuwa hatashiriki kwenye uchaguzi mkuu ambao unapangwa kufanyika tarehe 26 mwezi hu.
Bwana Odinga anasema anataka kufanyika uchaguzi mpya jinsi ilivyoamuliwa na mahakama ya juu
Uchaguzi huo wa tarehe 26 utakuwa ni marudio ya...
Maombi ya mikopo ni hadi pale utakapo kuwa umepata chuo. Ni baada ya TCU kupeleka majina ya waliopata vyuo Loan board
Sent using Jamii Forums mobile app
Federal President
FRANSISCO NZALALILA amemshinda BAALI IBRAHIM
College of natural and mathematical science (CNMS)
Vice president and deputy vice President
HAMIS NGELEJA & ANGELINA MASENGWA wamewashinda ALBERT FADHIL & IMAKUKATA
Walioko college nyingine wekeni matokeo ya huko.
Nilikuwa nataka kuweka password kwenye baadhi ya folder za computer yangu kama kuna mtu anajua anaweza kunielezea. Nataka niwe nafungua mm peke yangu zisifunguliwe na mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.