mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 98
Wakuu mimo binafs nashindwa kuelewa HV hawa bodi ya mikopo ni Lin watafungua mfumo wao coz au wanataka watuletee vigezo vingne vigumu vya kutupa mikopo?Waswahili wanasema kimya kina mshindo lkn kwa dalili zinavyoonekana inaonyesha ya kwamba hawa bodi ni watu Wa kujisahau sana mpaka JPM ATUMBUE MMOJA NDIPO wafungue mfumo wao.
Jaman tumechoka kukaa kitaan tukiwa na presha
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman tumechoka kukaa kitaan tukiwa na presha
Sent using Jamii Forums mobile app