Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
mbona kuna uzi unaolezea kuhusu kupaka rangi maneno naomben mumwekee huo uzi
Mwisho weka[/color]anza kuweka mabano haya[] halafu katikati ya mabano andika bila kuacha space maneno haya color=red , afu nje ya mabano andika uzi wako
Duuh umetisha mkuu√√√√√Fanya hivi.
nimekuelewaanza kuweka mabano haya[] halafu katikati ya mabano andika bila kuacha space maneno haya color=red , afu nje ya mabano andika uzi wako
hatari mkuuwatu wagumu kuelewa,
[Najaribu/blue]Mwisho weka[/color]