Recent content by mutashubanyuma

  1. M

    Arusha imekuzwa kuliko ilivyo!! ( Overrated )

    Si Mwanza tu ambayo ni bora kwa Arusha, hata Mbeya ni bora zaidi ya Arusha.
  2. M

    Nimechoka kusubiri ajira za walimu

    Kusubiri miezi michache tu unalalama! Inaonekana hujui kama kuna waliowahi kusubiri ajira hiyo kwa miaka sita (6)! Hii ilikuwa mwaka 1996 serkali ilipokuwa bunkrupt hivyo kutokuwa nauwezo wa kuajiri watumishi wapya na kuwalipa mishahara hadi ilipoanza tena kuajiri mwaka 2002 baada ya hali ya...
  3. M

    Nani afundishe Sayansi ilhali walimu wanataka kozi za afya?

    Sina hakika kama mleta mada anajua walimu wa sayansi huwa wanasoma degree programmes zipi wawapo vyuoni. Hili linathibitishwa na uandishi wake wa kudai walimu wa sayansi wanatamani kuachana na degree zao za " B.A (ed) i.e Bachelor of Arts with Education. Mwenye degree hii ni mwalimu wa masomo ya...
  4. M

    Gration Mukoba anatishia nyau

    Mgomo una taratibu zake. Ni hatua ya mwisho kabisa baada ya hatua za mazungumzo na reconciliation kushindikana. After all, bwana Mukoba alikuwa wapi siku zote! Walimu wana madai yaliyolimbikizwa kwa muda mrefu sasa takribani miaka 5! Ilikuwa bora awaeleze walimu kipindi chote hicho alikuwa wapi...
  5. M

    Trafiki Dar wakusanya bilioni 1.9 mwezi February kwa makosa ya barabarani pekee

    A nice argument! Kwa hiyo ndo kusema ni mojawapo ya vyanzo reliable vya mapato ya serikali. Acha waendelee kufanya makosa tuongeze makusanyo!
  6. M

    Klabu Bingwa UEFA, Jumanne hii

    Well said!History does not appy in football. Let's wait and see!
Back
Top Bottom