Steven Masele kahusika kwa kiasi kikubwa. Yule golikipa alitolewa kwa kuona anaziba ushindi wakati hakuwa na tatizo. Ile kutoka tu magoli hayo utotoooo huuuuuuuu hatutaende lea kwenye soka. Ulaya hakuna point za mezani kwetu sasa, subili za yanga
Huna wazazi?.
Huna kwenu?
Huna ndugu?
Hujasoma?
Je marafiki?
Unamjua Mungu kupitia wapi?
Usijisike vibaya kuulizwa haya maswali maana naamini toka ndani ya makundi haya mke hupatikana humuo pamoja na makundi amabayo sijayaandika
Yaani huyu anaji promo ili kugombea 2015 sio kweli yupo kambi ya EL ila kwa sasa inatengenezwa sambusa
Pia yupo Ngeleja hawa watatu na Lowasa mwenyewe wanatafuta watu ili kila mmoja watu ambao wao wataam ini hiyo idadi akigombea atashinda
Ben haikuwa big g ni dawa ya miti shamba hiyo si unawajua wasukuma kwa ........
Huyo siku zote akiguswa EL anaumia yeye kwani ndiyo katibu mwenezi wa huyo EL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.