Makabila zaidi ya 128 yanayopatikana Tanzania Bara

Haya hapa mkuu, Ila Nyerere alikataza ukabila na umimi.


Waalagwa (pia wanaitwa Wasi)
Waakiek
Waarusha
Waassa
Wabarabaig
Wabembe
Wabena
Wabende
Wabondei
Wabungu (au Wawungu)
Waburunge
Wachagga
Wadatoga
Wadhaiso
Wadigo
Wadoe
Wafipa
Wagogo
Wagorowa (pia wanaitwa Wafiome)
Wagweno
Waha
Wahadzabe (pia wanaitwa Watindiga)
Wahangaza
Wahaya
Wahehe
Waikizu
Waikoma
Wairaqw (pia wanaitwa Wambulu)
Waisanzu
Wajiji
Wajita
Wakabwa
Wakaguru
Wakahe
Wakami
Wakara (pia wanaitwa Waregi)
Wakerewe
Wakimbu
Wakinga
Wakisankasa
Wakisi
Wakonongo
Wakuria
Wakutu
Wakw'adza
Wakwavi
Wakwaya
Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele)
Wakwifa
Walambya
Waluguru
Waluo
Wamaasai
Wamachinga
Wamagoma
Wamakonde
Wamakua (au Wamakhuwa)
Wamakwe (pia wanaitwa Wamaraba)
Wamalila
Wamambwe
Wamanda
Wamatengo
Wamatumbi
Wamaviha
Wambugwe
Wambunga
Wamosiro
Wampoto
Wamwanga
Wamwera
Wandali
Wandamba
Wandendeule
Wandengereko
Wandonde
Wangasa
Wangindo
Wangoni
Wangulu
Wangurimi (au Wangoreme)
Wanilamba (au Wanyiramba)
Wanindi
Wanyakyusa
Wanyambo
Wanyamwanga
Wanyamwezi
Wanyanyembe
Wanyaturu (pia wanaitwa Warimi)
Wanyiha
Wapangwa
Wapare (pia wanaitwa Wasu)
Wapimbwe
Wapogolo
Warangi (au Walangi)
Warufiji
Warungi
Warungu (au Walungu)
Warungwa
Warwa
Wasafwa
Wasagara
Wasandawe
Wasangu (Tanzania)
Wasegeju
Washambaa
Washubi
Wasizaki
Wasuba
Wasukuma
Wasumbwa
Waswahili
Watemi (pia wanaitwa Wasonjo)
Watongwe
Watumbuka
Wavidunda
Wavinza
Wawanda
Wawanji
Waware (inaaminika lugha yao imekufa)
Wayao
Wazanaki
Wazaramo
Wazigula
Wazinza
Wazyoba

Makabila
 
Haya hapa mkuu, Ila Nyerere alikataza ukabila na umimi.


Waalagwa (pia wanaitwa Wasi)
Waakiek
Waarusha
Waassa
Wabarabaig
Wabembe
Wabena
Wabende
Wabondei
Wabungu (au Wawungu)
Waburunge
Wachagga
Wadatoga
Wadhaiso
Wadigo
Wadoe
Wafipa
Wagogo
Wagorowa (pia wanaitwa Wafiome)
Wagweno
Waha
Wahadzabe (pia wanaitwa Watindiga)
Wahangaza
Wahaya
Wahehe
Waikizu
Waikoma
Wairaqw (pia wanaitwa Wambulu)
Waisanzu
Wajiji
Wajita
Wakabwa
Wakaguru
Wakahe
Wakami
Wakara (pia wanaitwa Waregi)
Wakerewe
Wakimbu
Wakinga
Wakisankasa
Wakisi
Wakonongo
Wakuria
Wakutu
Wakw'adza
Wakwavi
Wakwaya
Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele)
Wakwifa
Walambya
Waluguru
Waluo
Wamaasai
Wamachinga
Wamagoma
Wamakonde
Wamakua (au Wamakhuwa)
Wamakwe (pia wanaitwa Wamaraba)
Wamalila
Wamambwe
Wamanda
Wamatengo
Wamatumbi
Wamaviha
Wambugwe
Wambunga
Wamosiro
Wampoto
Wamwanga
Wamwera
Wandali
Wandamba
Wandendeule
Wandengereko
Wandonde
Wangasa
Wangindo
Wangoni
Wangulu
Wangurimi (au Wangoreme)
Wanilamba (au Wanyiramba)
Wanindi
Wanyakyusa
Wanyambo
Wanyamwanga
Wanyamwezi
Wanyanyembe
Wanyaturu (pia wanaitwa Warimi)
Wanyiha
Wapangwa
Wapare (pia wanaitwa Wasu)
Wapimbwe
Wapogolo
Warangi (au Walangi)
Warufiji
Warungi
Warungu (au Walungu)
Warungwa
Warwa
Wasafwa
Wasagara
Wasandawe
Wasangu (Tanzania)
Wasegeju
Washambaa
Washubi
Wasizaki
Wasuba
Wasukuma
Wasumbwa
Waswahili
Watemi (pia wanaitwa Wasonjo)
Watongwe
Watumbuka
Wavidunda
Wavinza
Wawanda
Wawanji
Waware (inaaminika lugha yao imekufa)
Wayao
Wazanaki
Wazaramo
Wazigula
Wazinza
Wazyoba

Wameru
 
Jariir, Gosha, na washunguli nao wanaishi somalia na kenya waliondoka mwaka 1700 watarudi ongezeni na hao
 
hawa jamaa ni majiran zetu nilisimuliwa na babu yangu waliwah kumwibia ng'ombe zizi lote miaka ya nyuma, yaan wakija kuiba cku hyo utalala hadi saa sita alasiri unakuta zizin kweupe peee!

Ha!ha!ha!. Kuna dawa wanatumia si bure.

Halafu wakija kuiba ng'ombe wanakuja na chumvi nyingi wanachofanya ni kuwalambisha ng'ombe. Basi ngo'mbe akishalambishwa chumvi hatoi sauti yoyote anaweza hata kupitishwa dirishani ulipolala usimsikie.

Huu mchezo hata wamasai wanaufanya sana.
 
Kwa maelezo ya Wamaasai ambao huwaogopa sana Wabarbaig wakawaita Mang'ati

Nimeelewa somo hapa mkuu kumbe ndio maana hawa jamaa hawali sahani moja. Ila inaonyesha hawa mang'ati ni watu hatari sana wanapokua kwenye himaya yao.
 
Nimeelewa somo hapa mkuu kumbe ndio maana hawa jamaa hawali sahani moja. Ila inaonyesha hawa mang'ati ni watu hatari sana wanapokua kwenye himaya yao.

Wamewasumbua sana majiran zao wana mtindo akikutembelea kwako anangalia lile dume la ng'ombe kubwa halaf anajidai anakuuliza umuuzie ili apate nafas ya kumgusa na kifimbo cha kuchungia baada ya hapo mchezo umeisha wakija ucku yule ngombe ndo atawaongoza wenzake kutoka zizin!
 
Wamewasumbua sana majiran zao wana mtindo akikutembelea kwako anangalia lile dume la ng'ombe kubwa halaf anajidai anakuuliza umuuzie ili apate nafas ya kumgusa na kifimbo cha kuchungia baada ya hapo mchezo umeisha wakija ucku yule ngombe ndo atawaongoza wenzake kutoka zizin!

Basi hawa jamaa ni zaidi ya hatari. Me hua nawafahamu kwa mtindo wao wa kutembea na fimbo muda wote.
 
Nawashukuru sana wote waliochangia mada.nakiri kujifunza mengi katika idadi ya makabila ya Tanzania.kitu kimoja nilichojifunza kuna makabila machache makubwa ambayo yametajwa na wanajamii lakini kuna koo zinachukuliwa kama makabila kitu ambacho hakina ukweli.Kuna makabila yanapatikana nji ya mipaka ya tanzania lakini baadhi ya wanajamii wameyataja,mfano; Wajaluo,wakurya,wameru,wamasai(kenya). wamakonde,(mozambique), wamatengo(malawi) wawemba wafipa(Zambia),wabembe,wabwaali,(DRC),wahutu,watutsi wanangaza(Rwanda/Burundi) wahaya(uganda). Nia yangu sio kuanzisha umimi au ukabila, nataka kujifunza tu na forum ndio mahali pake nafikiri. Nawasilisha.
 
Daah..! nashukuru warangi nasi tumo kwenye hiyo Orodha. Ila ukabila haufai kiukweli.., tupige kufuli uzi kama vipi..
 
Uzi mtamu sana huu, japo ukabila haufai kabisa

Sijawaona wasubi, wasimbiti, wasweta, waruri wapangwa na makabila mengine
 
Umesahau kabila la wakamba japo asili yao kutoka Kenya ila TZ tupo wengi wilaya kilosa sasa Gairo wapo Arusha, Tanga n.k ukitaka na vijiji nitakutajia
 
Hii orodha ni ya makabila ya asili ya KiTanganyika tu? Mbona sioni Wahindi, baniani, waajemi, waburushi, Waarabu,etc
 
Ingekuwa vizuri kama tutakuwa na ramani inayoonyesha haya makabila yalipo kwa sasa (Mikoa au wilaya).
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom