Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25

Natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25

Mullocoz

Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
23
Reaction score
2
Jaman wana jf natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25 sifa kuu awe anajua nn maana ya mwanaume.
 
ingia kule jukwaa la love connect ndo utampata hapa huwezi kumpata utaambulia kushambuliwa tu
Jaman wana jf natafuta mke wa kuoa umri usiozidi miaka 25 sifa kuu awe anajua nn maana ya mwanaume.
 
Huna wazazi?.
Huna kwenu?
Huna ndugu?
Hujasoma?
Je marafiki?
Unamjua Mungu kupitia wapi?
Usijisike vibaya kuulizwa haya maswali maana naamini toka ndani ya makundi haya mke hupatikana humuo pamoja na makundi amabayo sijayaandika
 
Huna wazazi?.
Huna kwenu?
Huna ndugu?
Hujasoma?
Je marafiki?
Unamjua Mungu kupitia wapi?
Usijisike vibaya kuulizwa haya maswali maana naamini toka ndani ya makundi haya mke hupatikana humuo pamoja na makundi amabayo sijayaandika

Umemuliza maswali ya msingi sana. Mke ni mtu ambaye umewahi kuwa na karibu katik jambo moja or jingine hizi ishu za mtandaoni sio safe utakuja juta one day.
 
maana ya mwanaume ni kutafuta hela, kunipa hela, kunitunza, kunipetipeti na kunipa mtoto basi..... sasa kwa maana hii hapa je nakufaaa?
 
Umemuliza maswali ya msingi sana. Mke ni mtu ambaye umewahi kuwa na karibu katik jambo moja or jingine hizi ishu za mtandaoni sio safe utakuja juta one day.
Napingana na wewe haya mambo ya ndoa hayahusiani kabisa na ukaribu katika mambo ya kifamilia, ikitokea ukapamta kiivyo sawa lakini sio guarantee wengi including me wanaoa na kuolew na watu ambao hawajawahi kuwa na ukaribu wa aina yoyote kifamilia wala kirafiki, mnaweza kutana kwenye daladala, au kutuoni au mtandaoni kama hivi, au kazini inategemea
 
Napingana na wewe haya mambo ya ndoa hayahusiani kabisa na ukaribu katika mambo ya kifamilia, ikitokea ukapamta kiivyo sawa lakini sio guarantee wengi including me wanaoa na kuolew na watu ambao hawajawahi kuwa na ukaribu wa aina yoyote kifamilia wala kirafiki, mnaweza kutana kwenye daladala, au kutuoni au mtandaoni kama hivi, au kazini inategemea

Ukisoma vizuri hap sijamaanish kifamilia but mtu ambaye umesocializ naye..cjasema haiwezekan kuoa wa hivyo but ni majanga at the end of the day dats why nkatoa warning. Unaweza ukakubal kuolewa na mtu mliye kutana mda mfupi.? Nijibu
 
Ukisoma vizuri hap sijamaanish kifamilia but mtu ambaye umesocializ naye..cjasema haiwezekan kuoa wa hivyo but ni majanga at the end of the day dats why nkatoa warning. Unaweza ukakubal kuolewa na mtu mliye kutana mda mfupi.? Nijibu

sasa huko ku socializ unakosema ina maana ni mpaka ukute na mtu mkubaliane ndo muanze ku socializ nae au nimekuelewa vibaya?
 
wewe una miaka mingapi, usije kuwa babu unataka kummaliza binti wa watu, pia kwani unatafuta umri mwema au mke mwema? angalia hisia zako. je ukimpata mwenye miaka 28 je huoi?
 
sasa huko ku socializ unakosema ina maana ni mpaka ukute na mtu mkubaliane ndo muanze ku socializ nae au nimekuelewa vibaya?

U shuld ask first..ok ipo hiv ishu kam hiz za mitandao ninazifaham nimezion kwa watu wa karibu..kusocializ nakosemea sio mpaka mtu awe kaish around nawe miak mingi negativ ni ishu ya mtu kumjua na yeye kukujua ata uliosemea kwa basi mtu mkianza kutok humwambii dada nataka kukuoa no ila utainitiate mazungumz ya urafiki then mtaanz ku date kama mkiend sawa. Ila kwa mitandao mtu anakuj direct natak mke haya anajitokeza kinach fuat ni kumit na kumsaminish then i lov u lov two..watu hao wamevutana ndani weng hukurupuk na asilimia kubwa wanao saka mke or waume ni wale ambao wamekuw ni dispersd n wanaogop mda. Ila hukujib swal langu
 
U shuld ask first..ok ipo hiv ishu kam hiz za mitandao ninazifaham nimezion kwa watu wa karibu..kusocializ nakosemea sio mpaka mtu awe kaish around nawe miak mingi negativ ni ishu ya mtu kumjua na yeye kukujua ata uliosemea kwa basi mtu mkianza kutok humwambii dada nataka kukuoa no ila utainitiate mazungumz ya urafiki then mtaanz ku date kama mkiend sawa. Ila kwa mitandao mtu anakuj direct natak mke haya anajitokeza kinach fuat ni kumit na kumsaminish then i lov u lov two..watu hao wamevutana ndani weng hukurupuk na asilimia kubwa wanao saka mke or waume ni wale ambao wamekuw ni dispersd n wanaogop mda. Ila hukujib swal langu
Huuuuuuu! nimemaliza kusoma sasa naomba nipumzike kidogo then nitacoment....huuuuuuuuu!!!!uandishi umenichosha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom