Recent content by MUSSA YOHANA MAGAMBO

  1. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Ni mawazo yangu tu sio lazima mchukue chochote kutoka kwangu. Naipenda Bongo movie na ndoto yangu ni kuwa miongoni mwa member wa bongo movie. Nina kipaji so kipaji cha kusomea masuala ya bongo movie hapana tangu mwanzo, nilikuwa nacho. Kitu kimoja kwa bongo movie ambacho nimekiangalia kwa haraka...
  2. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aambiwe kuwa ndege, madaraja, reli za umeme sio vipaumbele vyetu

    Oi niseme kuwa ndege, reli za umeme ni vitu vya mhimu sana Hamwezi kujua faida yake but he seek for the future life Anataka kuiweka tz kuwa miongon mwa nchi zilizo katika mwonekano wa kupendza sana ili isaidie katika jamii. Tena cha kufanya aongeze na kujenga mitalo chini ya aridh, Aweke cctv...
  3. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania Tumemchoka sasa Mtangazaji wa TBC1 na TBC Taifa Enock Bwigane abadilike upesi na huu ushamba!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania Kuna wakati huwa tunawamiss ma X wetu, tunajikazaga tu sababu hakuna jinsi

    Dah! Kwa kwel bana ndo ivyo kujikaza kiue ila huku ukiomba muujiza asipotee machoni pako utosheke hata kwa kumwona
  5. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUFUTA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK MOJA KWA MOJA

    Kuunstall na kufungua mpya utajaza akaunti ngapi jibu ni kufutavkabisa akaunt
  6. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania Matumizi madogo madogo kwa mpenzi wako

    Hilo ni jukumu lake mwenyewe na mzazi wake, mm nawaza saidia napoona panafaa sio kila kitu yeye so mke wangu kuwa anategemea kila kitu kwangu2
  7. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUFUTA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK MOJA KWA MOJA

    Entrar no Facebook | Facebook
  8. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUFUTA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK MOJA KWA MOJA

    Link ni hii hapa kwa usahihi zaidi Entrar no Facebook | Facebook
  9. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUFUTA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK MOJA KWA MOJA

    Kuna jia mbali mbalibsana zinazotolewa lakini zingine zinakuwa ndefu kiasi cha kushindwa kuzimudu na watu wengine kuishia kuzima akauti zao. Kufuta akaunti yako ya facebook kunaweza chukua siku 90 kuamilisha kufuta kila kitu Ndani ya siku 14 akaunti yako itazimwa na baada ya hapo taratibu za...
  10. MUSSA YOHANA MAGAMBO

    JamiiForums Tanzania Single fathers, mothers and all singles get together party

    Mimi nina19ila nimekomaa kiakili huenda zaid yako
Back
Top Bottom