Kiujumla tu watanzania sisi technologia imetutawala afu hatuna elimu yoyote kuhusiana na technoljia ya sim, ndo maana tunaibiwa na vifulushi kwa sababau hatuna elimu hyo
Kabisa hata mm huwa naowaona watu flan hivi ambao ni malimbukeni wa mtandaoni,, unakuta mtu anaweka majungu afu ukimwangalia ni mtu flan wa heshima kabisa
Ndugu elew kuwa hapo ulipo uko kwye dola ama ngome ya kidini huwez kufanya jambo bila kuhusisha dini, ni laima dini ihusike kwa mkazo mkubwa maan imeshikilia iman ya watu wengi dunian
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.