Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,738
Kuna sheik mmoja kaeleza kuhusu serikali ya mama na kusifia anayo yajua yeye.
Ila kitu kimoja ukisifia bila kukosoa sio siasa ila ukikosa ni siasa.
Naomba kitendo Cha kuwapa na misaafu na biblia waache maana wanachanganya serikali na dini.
Pili wakiona mambo mabaya kwa nini wanakimbilia kwa viongozi wa dini kama sio siasa.
Ila kitu kimoja ukisifia bila kukosoa sio siasa ila ukikosa ni siasa.
Naomba kitendo Cha kuwapa na misaafu na biblia waache maana wanachanganya serikali na dini.
Pili wakiona mambo mabaya kwa nini wanakimbilia kwa viongozi wa dini kama sio siasa.