Recent content by mussa wa cmg

  1. M

    Wataalam Wa INTERCOM, Msaada!

    kama unaitaji pbx na ufundi mzma nitafute mana Kuna engineer yupo ttcl namfahamu na ni mkali wa hizi kazi nikuunganishe nae 0657337030
  2. M

    Msaada kuhusu laptop yangu

    fanya window repair kama mdau alivyokueleza achana na swala la kupiga piga window hovyo na siyo Kila tatizo kwenye PC linatatuliwa na kushusha window Muda mwingine kushusha window ovyo ndo uleta matatizo kwenye PC mfano kuuwa hard drive yako
  3. M

    WhatsApp Encryption

    no kinachotakiwa ni mtu A na B wote muwe na latest version ya whatsapp hii ni kwa maana encryption ni new updates Kati ya updates Za whatsapp walizo release hii ni usahidia usalama zaidi Kati yenu wawili mnaochati kwa maana Amna mwingine atakaye weza ona mlicho kiongea na yeye akifungua ataona...
  4. M

    Hii inawahusu watumiaji wote wa PC

    jamaa yupo anae unganisha sema na yeye kachukua as agent so lazima apandishe bei coz ya kupata faida but Ata Mimi najua jamaa mwenye huduma na anajulikana umu ndani jukwaani ukiona VP ni pm niwafanyie michongo mana nami ni agent
  5. M

    Telecom Engineer competent anapatikana

    Mimi nataka training toka kwake kama msaudizi yani volunteer
  6. M

    Bei ya Broadband Tanzania

    kuana mahali nilifanya network na walichukua ISP wa ttcl kwa cost alzonambiya jamaa Ni kama 3milion but kwa package y mbps nimezisahau hila price utegemea na mbps ngapi unachukua
  7. M

    Naipenda simu yangu ya windows

    powa itabidi nizikopi Ni ili nijue Ni error ya nn
  8. M

    Naipenda simu yangu ya windows

    Mimi Nina Nokia Lumia 822 Verizon but Kila ninapojalibu kui updates uwa unaenda hadi 80% mwishoo ya fail so sijui Ni speed ya WiFi ama Ni simu yenyewe aina uwezo ya kupokea updates Msaada wenu wakuu mana still ipo na window 8 na Kuna app nazikosa kwa sasa
Back
Top Bottom