Naitwa Augustine Lucas, Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 25. Mzaliwa wa Mkoa wa Geita, nimhitimu katika Chuo Cha Bandari Dar Es Salaam, course niliosoma ni Clearing forwarding and port management,
Nina uzoefu katika masuala yote ya Port operations.
Nipo hapa natafuta kazi yoyote katika...