Natafuta kazi au kujitolea katika kampuni za freight clearing

Natafuta kazi au kujitolea katika kampuni za freight clearing

Mussa Lucas

Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
16
Reaction score
25
Habari,

Samahani kwa usumbufu.kwa majina naitwa Mussa Thomas ni mhitimu wa chuo cha Bandari college course ya Freight clearing forwarding and port management ngazi ya certificate nilikuwa naombi la kutafuta kampuni yeyote ile ya freight ambayo naweza kupata kazi au kujitolea:
 
Habari,samahani kwa usumbufu.kwa majina naitwa Mussa Thomas ni mhitimu wa chuo cha Bandari college course ya Freight clearing forwarding and port management ngazi ya certificate nilikuwa naombi la kutafuta kampuni yeyote ile ya freight ambayo naweza kupata kazi au kujitolea:
kafanye survey pale maeneo ya posta na bandarini hizo kampuni zipo nyingi sana
 
Back
Top Bottom