Naomba ushauri,
Dada yangu anaufaulu huu hapa;
Physics D
Chemistry C
Biology D
Mengine yaliyobaki F
Ushauri jamani comment zenu sio matusi kama huna ushauri soma pita
Wadau habari na mdogo wangu kasoma nursing ya mwaka moja anaweza soma certificate ya nursing mwaka moja matokeo yakidato cha nne physics D biologyD chemistry C mengine F anaweza akaomba nacte akapata akitumia cheti chake cha nursing mwaka moja na matokeo take ya kidato cha nne
Ndugu zangu wanajamii,
Mimi nilikuwa nataka ushauri wa biashara ya duka la nafaka na mazao ya muhimu ambayo ni chakula kwa binadamu; yenye mzunguko mzuri kwa biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.