kiwanja Hata kama Ni Cha mtu binafsi.Kumbuka Kuna Kupata Hati ya Kiwanja.Lazima Uende kwa Lukuvi.Sasa hapo ndiyo shida kama hutafuata utaratibu wa Serekali.
Ni vizuri serekali kuangalia Bei Elekezu za viwanja.Watu tumepigwa sana.
Poleni sana.kuangukiwa kwa nyumba za Mapolisi ni Nakumbuka swali liliuzwa wiki hii mwanzoni na Ndiyo swali lililo mtumbuaWaziri mwenyewe.Sasa swali limekuwa kweli wa halisia.
Wizara hizi Mbili yaani Uchukuzi na Nishati kweli zinaitaji Badjeti zenye Uhakika.Nadhani Mwaka huu Miundombinu Afadhali tutaona kuna Kama kweli kuna Nchi inaitwa Tanzania
Lindi hiyo hiyo kaka wewe unayoishi hapo.Mimi Naishi Arusha.Lakini Lindi nimepapenda sana kaka.Yaani Mandhari yake usiseme.Lindi Inauzika broo.Ngoja Gesi ikishaaanza kuja hapo itaniambia broo
Jamani Lindi Jamani.Nilifika Lindi Mara yangu ya kwanza mwaka jana mwezi May.Niliipenda sana ile Mandhari yake.Lindi Kwa nchi zingine ni mahali Matajiri tuu ndiyo wanapaswa kuishi hapo.Lindi Mwenyezi Mungu kaipendelea sana.Ila tuu Wenyeji wa hapo wanashindwa kutumia fursa kibao tuu hapo.Ila Gesi...
Wewe unaelalamika kuwa hii serikali itakuwa kama Zimbabwe,Wewe unataka kila kitu kutoka serekalini,Lakini nakuambia fanya Kazi kwa Bidii utafanikiwa tuu.Serekali haiwezi kukufanyia kila kitu.Miaka 2 nchi inabadilka.wewe subiri.Subira yavutta kheri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.