Sasa mgombea kiti cha uraisi anakuwa mkuu wa mkoa. ? Hii ni ajabu mama hakujielewa anataka nn. No sawa na kumpa Lowassa kuwa mkuu wa mkoa.
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
LiFlora halina ata aibu kutangaza kwenye media huu ufuska wake kuja kuona na Mtt na kumuacha mzee mwenzake waliokula nae ujana pamoja nn.. huu ni uhuni mtupu. .
Dunia inaenda kuingia katika uchungu kama uchungu wa kuzaa kwa mwanamke world war three(ww 3) is nigh. Kama hv ndio hvyo haswa ilivyo bs Korea hana lake maana hapo bado collabo ya marafiki washirika wa noma hii
Uyu jamaa ni mbabe sana yaani muhimili mwingine wa nchi unaeleza unavyoona hali inavyokwenda kuwa haki unapokwa na mhimili mmoja yy anaita siasa.? Kweli hali ni tete ktk bongo letu hili.
Hapa swala sii dini gani, ni kwamba kiongozi wa nafsi za watu anapaswa kuwa aje? Mm nafikiri unatetea mtu bila kujali Mungu anataka nn. Lakini ungejua sheria za ukuwani ktk biblia Gwajima hasingefaa kuwa kuwani kwa kashfa zake hizi. Kwa haraka haraka naona Mathayo 24: ikitimia na watu hawaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.