Recent content by musa mwanawile

  1. M

    Majina ya vijiji ambayo ukiyasikia unacheka

    Gamboshi! Kijiji hiki kipo wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu
  2. M

    Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

    Baba Tiffar ni nouma wengine wakasome nimemwelewa hatar
  3. M

    Bajeti ya kuendelea kugharimia safari za Jakaya Kikwete imetoka wapi?

    Ana heshima ya kuwa Rais mi napata taabu ni nn? Tatizo mi naona tuna lalamika je? Nani anajua JK hizo xafar zinahusiana na nn?
  4. M

    Hivi inawezekana kwa msichana aliyepo chuo kikuu 2nd year kuwa bado ni bikra?

    Inawezekana sio wote maharage ya mbeya kuna wanaojitambua
  5. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Ogopa magufuli asiwawaze sekunde tu utaona watu vichwa chini? Nataman mamlaka husika iitazame hospital ya wilaya ya bariadi haina jokofu la kihifazia maiti
  6. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Patamu hapo ila wacha movie indelee tanesco jaman msiombe magufuli akawa mgeni wa ghafula
  7. M

    Tutafakari kauli hii ya Mbowe

    Anataka kutuhadaa watanzania kwa malengo yake binafis kila mtu anahaki mbele ya sheria kama kila mtu anachofikilia kuwa ni vyema ruksa
  8. M

    Mchumba wangu kaanza katabia cha ajabu

    Ndo maisha yetu nyuma ya kapeti tambua kuna xehem unakosea jipange upya
  9. M

    Ushauri: Mwanamke niliezaa naye watoto 2, kanikata, nikaomba msamaha, kakataa, sasa ananitaka tena

    Kwanza brother mama wawili humpendi ila kwa njaa njaa zako za kipindi kile ulikuwa unamwigizia kuwa unampenda afu we unakuwaje na vijitamaa na madem wa wenzio! Unazingua kweli rudi kwa mama wawili coz ulishamchafulia profile yake
  10. M

    Yanayojiri Bungeni 19 Novemba, 2015: Rais Magufuli amteua Majaliwa K. Majaliwa kuwa Waziri Mkuu

    Daaah! JPM ana mipango yake anayoijua ila ndo hivyo ilikuwa siri nzito na hatimaye Kasim Majaliwa ndo kapendekezwa kazi kwenu wabunge kumpatia kura za diyo kikubwa aendane na kasi ya HAPA KAZI TU! Si watawaliwa tunahitaji tanzania yenye maendeleo yenye kasi
  11. M

    Je, utazaa nje ya ndoa iwapo mwenza wako hana uwezo wa kupata mtoto?

    Nitakaa kitako na my wangu tunajadili kwa pamoja kama ataafiki nalengesha nje?
  12. M

    Naitwa musa nkwabi niko bariadi simiyu niko tayari kushirikiana na wana jf

    Nitaungana na wanajamii wenzangu kwa kila nyanja
  13. M

    Deo Ngalawa ameteuliwa na CCM Ludewa kugombea ubunge

    Masanja anataka ubunge xa wanataka kugeuza bunge ukumbi wa starehe
Back
Top Bottom