kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,679
Umemtesa sana huyo mwanamke. Kwahiyo ulikuaga unafanya mashindano ili mwishoni ushinde?
Hebu fikiria, vaa viatu vyake, kumbuka ile miaka tisa na mambo yote uliyomfanyia pamoja na mashindano, halafu fikiria ingekua ni yeye kakufanyia hivyo kwa miaka tisa ingekuaje?
Una mwanamke mvumilivu sana hahahahahhahha. Wapo wachache hao
Hebu fikiria, vaa viatu vyake, kumbuka ile miaka tisa na mambo yote uliyomfanyia pamoja na mashindano, halafu fikiria ingekua ni yeye kakufanyia hivyo kwa miaka tisa ingekuaje?
Una mwanamke mvumilivu sana hahahahahhahha. Wapo wachache hao