Mchumba wangu kaanza katabia cha ajabu

Mchumba wangu kaanza katabia cha ajabu

Umemtesa sana huyo mwanamke. Kwahiyo ulikuaga unafanya mashindano ili mwishoni ushinde?
Hebu fikiria, vaa viatu vyake, kumbuka ile miaka tisa na mambo yote uliyomfanyia pamoja na mashindano, halafu fikiria ingekua ni yeye kakufanyia hivyo kwa miaka tisa ingekuaje?

Una mwanamke mvumilivu sana hahahahahhahha. Wapo wachache hao
 
Mkuu me naona ongeza mingine 9 yakumchunguza hiyo tabia yake...
 
Tatizo asili ya huyo mtu. Na kabila mkuu nina experince na hilo kabila.




Peoples msinitumie A-bomb please.
 
Mwanaume ndo huwa anambadilisha mwanamke kwa hizo tabia zako za kuchepuka ndo maan kawa hivyo sasa ulikuwa unachepuka nn wakat umeshamweka kweny malengo???????mshika mawili mmoja humponyoka
 
Umemtesa sana huyo mwanamke. Kwahiyo ulikuaga unafanya mashindano ili mwishoni ushinde?
Hebu fikiria, vaa viatu vyake, kumbuka ile miaka tisa na mambo yote uliyomfanyia pamoja na mashindano, halafu fikiria ingekua ni yeye kakufanyia hivyo kwa miaka tisa ingekuaje?

Una mwanamke mvumilivu sana hahahahahhahha. Wapo wachache hao

mkuu tatizo sio mimi kabisa...tatizo ni hili kabila langu huwa kila nikijitaidi kuwa romantic nashindwa kabisa
 
Na bado Huo ni mwanzo tu, hunijui vizuri eenh mahar utapeleka na ndoa itafanyika na mie ndo mkeo maisha yako
 
Mwanaume ndo huwa anambadilisha mwanamke kwa hizo tabia zako za kuchepuka ndo maan kawa hivyo sasa ulikuwa unachepuka nn wakat umeshamweka kweny malengo???????mshika mawili mmoja humponyoka

no sikuchepuka mkuu toka nilikuwa nafanya zamani ila toka nipeleke barua ya posa kwao sijawahi kwenda nje
 
mkuu tatizo sio mimi kabisa...tatizo ni hili kabila langu huwa kila nikijitaidi kuwa romantic nashindwa kabisa

Kaoe mtu wa kabila lako basi atakayekuelewa hajui kuwa romantic. Acha kumtesa mtoto wa watu miaka tisa yote hiyo kidume ndo wewe. Huyo mchumba wako itakuwa ana mwanaume mwingine anayembembeleza na anatembea nae sasa hawezi kutembea na wanaume wawili kwa mpigo ndo maana anatoa visingizio. Usipoangalia ataolewa wewe ukiwa bado unaandika barua ya posa!
 
Kaoe mtu wa kabila lako basi atakayekuelewa hajui kuwa romantic. Acha kumtesa mtoto wa watu miaka tisa yote hiyo kidume ndo wewe. Huyo mchumba wako itakuwa ana mwanaume mwingine anayembembeleza na anatembea nae sasa hawezi kutembea na wanaume wawili kwa mpigo ndo maana anatoa visingizio. Usipoangalia ataolewa wewe ukiwa bado unaandika barua ya posa!

aisee naona bila niwahi kupeleka hiyo hela mahari hayo mambo mengine tutabadilika taratibu maana kumkosa huyu mtoto maisha hayawezi kwenda kwa ukamilifu kabisa
 
dawa yake utafute mchepuko kweli...Ndio atatulia upo too busy nae....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom