moja kati ya sifa za gwajima ni kuharibu ndoa za watu na wapi/ na wapi? askofu na siasa alishafanya hivyo kwa mbasha sasa kahamia kwa josophin slaa wakati watu wanakufa kwa dhambi askofu
wanaosema A.C.T cha waha mimi ni mkinga niko ACT na hata halmashauri kuu ya taifa kuna wakinga wawili Godlove Fungo na Geofrey Sanga so wawe wanasema na wakinga tofauti na chadema eti mjumbe kamati kuu toka Mbeya ni mchaga anaitwa Hugho Kimalio.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw, Magessa Mulongo amemshutumu M/kiti wa Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bw, Freeman Aikael Mbowe kuwa ameongwa na mmoja wa waliyokuwa vinara wa kusaka Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili awe mgombea wa Urais kupitia chama hicho, pia aliongeza kuwa...
Makongoro nyerere hata kama mimi ni chadema ila kwa makongoro namchagua suala la slaa asubiri kwanza amalize makongoro ndo nitamfikiria yeye samahani watu wangu wa moshi mtanisamehe kwa hili
mimi nimeona leo basi mbili za jeshi jwtz likiwa eneo la uyole likiwa full wajeda ndani wakawa wanaelekea barabara ya makambako mimi nilikuwa uyole labda nao wanakuja huko anzeni kuandamana kama nyie kweli makamanda si makamanda wenzenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.