hawa ni wahudumu wa hoteli moja kubwa hapo Kigali. huyo wa nyuma anaitwa ngeshimana. alishanihudumia hapo.
Kichwa chako Cha habari na maudhui yaliyo ndani vitu saba tofauti.
Sorry kama hii picha ishaletwa hapa
Please naomba kama kuna mwanamke wa KINYARWANDA wapo hapo Bongo wanPm please. Nimewamic sanaaaaaa
MUNGU fundi jamani.wanaume tunatabu
ilaMUNGU fundi jamani.wanaume tunata lakini bu
ila
ila kaka toto za kitutsi ni hatari, daah watoto wazuri saana,mi kuna moja inanisumbua kaka we acha tu,toto inasoma diploma lakini mi pamoja na MBA,CPA T lakini wapi, sijui nifanyeje
Gentamycine yupo wapi????? Ndo ndugu zake hao anaowasifia daily
ila
ila kaka toto za kitutsi ni hatari, daah watoto wazuri saana,mi kuna moja inanisumbua kaka we acha tu,toto inasoma diploma lakini mi pamoja na MBA,CPA T lakini wapi, sijui nifanyeje
Acha ubahili!Huwezi kwenye mlimani city kufanya shopping huku una budget ya Kkoo shimoni
Hilo ndio kosa unafanya mkuu, unadhani mwanamke anatongozwa na cpa na mba.
Mwanamke hatongozwi na hayo makitu, hayo yanatongoza kazi sio mwanamke, kwa utaratibu huo hata house girl anakukataa maana unadhani vyeti vyak ndio vitakupa hiyo mtoto.
Cpa sijuo mba kwani unaenda kuomba kazi hapo?