Recent content by Muria

  1. Muria

    Je, Kenya kuhararisha mwanadiplomasia Goma, kunaashilia nini

    Kinachochekesha ni kwamba huyo huyo DRC ana mwakilishi wa serikali yake (Consulate General) pale Mombasa wakati ana ubalozi mjini Nairobi. Sasa ngoma draw au??
  2. Muria

    Kuna kelele nyingi za haki sawa kwenye kugawana majukumu ya Mwanamke, kwanini majukumu ya Mwanaume yapo vile vile hayapewi usawa ?

    Umeanza vizuri nikakuamini... Wanawake wanaposema haki sawa hawazungumzii ndoa tu, hio ni mojawapo ya sehemu inayodhulumisha wanawake, bali wanataka nafasi ya kumiliki mali katika majina yao, kujiunga na kushiriki. kikamilifu katika shughuli zote za kijamii, malipo sawa kwa kazi sawa n.k. Hapo...
  3. Muria

    Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

    Yeah mimi niliiona kwenye mashindano ya farasi. Mji wa Versailles background yake aisee dah! Acha tu.
  4. Muria

    Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

    Kuna economist alisema developing countries zinakua taratibu sana hatutakuja fikia nchi zilizoendelea bali gap itaendelea kuwa kubwa na nilijisikia vibaya sana aliposema hivyo ila kwa kweli ukiangalia miji ya Paris na Versailles yalivyopangwa tangia miaka hio bila shaka unaona kwa ukuaji wetu...
  5. Muria

    Cheo cha 'Naibu Rais' chaendelea kuwatesa Wakenya. Inasemekana Rais Ruto hapatani na Naibu wake

    Ni kawaida sana kwenye coalition politics. Ila sikulaumu kwa sababu hauna mifano ya aina nyingine ya uongozi ukiacha unayoiona kila siku so uelewa wako sio mpana.
  6. Muria

    Mke wa mtu sumu, cheki kideo

    Hii bongo inaonekana asilimia 90% ya wanaume mnaviziana tu... Vijeba mmejificha nyuma ya pazia.
  7. Muria

    Tupeane maujanja ya Excel

    Mgogo Vitani bado ina umuhimu wake kaka. Wengi tupo kwenye levels tofauti za uzoefu so inawezekana beginner akawa anafuatilia thread anapata madini mengi tu.
  8. Muria

    Inakuwaje Kenya ndiyo iwe mpinzani wa Tanzania

    Ukweli ni kwamba wapendanao ndio wagombanao. Ni nchi ipi nyingine inayopakana na TZ ambayo Mtanzania anaweza kuishi na kujihisi yupo nyumbani?
  9. Muria

    Kenya, vyanzo vichache vya Umeme, wana matumizi Makubwa, hawana Mgao kama sisi

    Ungeweka pia energy mix ya Tanzania ili tuone tofauti. Nahisi Tanzania inategemea zaidi thermal energy (umeme wa generator) kuliko Kenya hali iliyokuwa mbaya zaidi na ukiongeza na ukosefu wa dola zinazohitajika kununua mafuta.
  10. Muria

    Kenya kuondoa Visa kwa wageni inaweza kuwa na athari gani kwa usalama wa majirani zake?

    Hio hapo ni "total available". Natural mineral resources ni finite, tunavyozitumia zinazidi kupungua. Raslimali zilizo na thamani kubwa zaidi ni raslimali watu na 'produced capital' (majengo, mashine n.k). Tuwekeze kwenye elimu bora na afya kwa watoto wetu tupae. Hizi stori za tuna raslimali...
  11. Muria

    Kenya kuondoa Visa kwa wageni inaweza kuwa na athari gani kwa usalama wa majirani zake?

    Africa tumeimbishwa huu wimbo sana na ukichunguza kidogo tu unakuta hatuna raslimali kihivyo ukilinganisha na maeneo mengine duniani.
  12. Muria

    Top Ten ya majiji tajiri zaidi Afrika 2022, Nairobi namba 5, Dar es Salaam haimo

    Wanapima "total private wealth" yaani mali binafsi inayomilikiwa kwenye jiji hilo k.m. thamani ya majengo binafsi (yasiyo ya serikali/umma), hiza kwenye biashara mbali mbali, cash etc. Jisomee mwenyewe hapa... 2022 Africa Wealth Report Reveals ‘Big 5’ Hold Over 50% of the Continent’s Private Wealth.
  13. Muria

    Nairobi securities exchange

    Hivi ulipata msaada? Kama bado una uhitaji, ukipitia website hii Legal Framework nina imani utapata info yote unayohitaji kuanza kuwekeza kwenye NSE. CDSC ndio unaopaswa kufungua nao account ili kuanza safari yako ya uwekezaji. Kila la heri.
  14. Muria

    Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

    Yaani arguments zingine hapa huwa zinanishangaza sana. Logic huwa inabakia mlangoni kabisa. Basically argument kuu ni: Tanzania = nchi huru na ikifanya maamuzi yake haimbezi mtu yeyote, na maamuzi yake yanafaa yaheshimiwe. Kenya ni nchi "huru"?, ila inafanya maamuzi yake ili kumpendeza beberu +...
Back
Top Bottom