Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 251
- 638
Habari
Mimi ni mtanzania na naishi Tanzania, nahitaji kujua mambo yafuatayo kuhusu kichwa cha habari hapo juu. Naombeni msaada wa haya maswali hapo chini
1. namna ya kujiunga na Nairobi Securities Exchange ikiwa mimi ni Mtanzania
2. Vitu vinavyohitajika ili nijunge
3. Njia za malipo (nikinunua na kuuza shares zangu)
4. Napataje gawio ikiwa naishi huku TZ
5. Athari nitakazopata kama mtanzania mwenye hisa za Kenya
6. Kima cha chini ni hisa ngapi? (DSE wao ni hisa 10)
Mwenye kujua haya mambo, au baadhi ya hivyo nilivyouliza, au mwenye kujua wapi nitapata majibu ya hayo maswali.
Naomba anijuze tafadhali
Mimi ni mtanzania na naishi Tanzania, nahitaji kujua mambo yafuatayo kuhusu kichwa cha habari hapo juu. Naombeni msaada wa haya maswali hapo chini
1. namna ya kujiunga na Nairobi Securities Exchange ikiwa mimi ni Mtanzania
2. Vitu vinavyohitajika ili nijunge
3. Njia za malipo (nikinunua na kuuza shares zangu)
4. Napataje gawio ikiwa naishi huku TZ
5. Athari nitakazopata kama mtanzania mwenye hisa za Kenya
6. Kima cha chini ni hisa ngapi? (DSE wao ni hisa 10)
Mwenye kujua haya mambo, au baadhi ya hivyo nilivyouliza, au mwenye kujua wapi nitapata majibu ya hayo maswali.
Naomba anijuze tafadhali