Serikali imetakiwa kuwalinda wawekezaji hususani wazawa wenye viwanda vidogo ili wasaidie kukuza uchumi wa Taifa kupitia viwanda kama yalivyo maono ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa viwanda.
Mkurugenzi wa ranchi ya mifugo ya Mrito iliyopo Nyamongo Wilaya Tarime...
Hizo ni scabbies wala siyo fangus. Nenda pharmacy nunua sawa inaitwa Scaboma beinyake ni kuanzia 8,000 mpaka 15,000. Tumia wiki mbili. Usipopata nafuu nicheki nikuelekeze kwa mtaalam namba moja wa magonjwa ya ngozi. Fata maelekezo ya pharmacist. Ukipata nafuu usiache kuleta mrejesho.
Dawa ilikuwa Rahisi tu. Alinieleza ni tatizo gani analo nikamuelekeza dawa ya kutumia.. Ndogo dogo tu inauzwa 8000- 15000 pharmacy...keshapona huyu ndugu kizito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.