Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtaa gani huo na mimi nije?Mwenye nyumba wangu hana uswahili hivyo. Kwanza kodi inaisha naanza kumtegeshea akirudi usiku nimpe maana bila hivo anaweza zidisha hata mwezi hajanidai.
Anaishi nyumba ya pembeni, anaenda kazini mapema na kurudi usiku. Mimi mwenyewe sio mkorofi.
inasemekana kwamba wasukuma ni wastaarabu sanainategemeana na mtu maeneo na mikoa usukuman wenye nyumba wastarabu sana we utapata wap mwenye nyumba anakuambia mwanangu korona hii imeyumbisha sana maisha jkusanye ukipata leta hata ya mwez mmoja mmoja mpka hali itakapo kaa sawa
Ndugu unapopanga hakikisha kunakuwa na mkataba ,na uoneshe wajibu wa mwenye nyumba na haki zake na wajibu wako na haki zako kwenye nyumba unayopanga ,ukiona poa pangs vinginevyo sepa.Hivi kwanini nyumba za kupanga ambazo wenye nyumba nao wanaishi humo zinakuwa na usumbufu sana. Wenye nyumba wanasumbua kinoma noma yani.
Mfano nyumba ninayokaa nimehamia mwezi wa tano, lakini dah natamani kuhama sema ninmeshalipa miezi sita. Yaani kuna vigharama vya ajab ajabu mpaka najiuliza huyu mzee ana shughul gan na hizi pesa.
Maana nimehamia tu nikaambiwa chemba imejaa wapangaji tujichange 36k tuite gari livute maji taka. Mimi nikagoma kwasababu hata mwezi sina nikasema chemba ikijaa tena nitatoa hii ya sasa sihusiki. Mwenye nyumba akanijia juu kinoma kuwa mimi mkorofi.
Kingine kila tarehe 1 na tar 15 kuna watu wanakuja kusafisha hapo nje kwenye vitofali vya chini sijui wanaviitaje jina lake inabid kila mpangaji achangie elf tatu ili hao mabwana walipwe.
Yaani nyumba hii ina mambo kibao yaani.
Bili ya maji jana imekuja elf 12 kila mmoja achangie na mimi hata sina mazoezi ya maji maana sifui wala kupika kwasababu sio mtu wa kushinda home kazi zangu ni za porini huko, utalii.
Nikirud nakaa week nasepa tena. Nguo huwa napeleka sehem zinafuliwa then nazifuata matumizi yangu ya maji ni kuoga tu na usafi wa ndan basi.
Je, huko kwenu jaman hali ikoje?
Wenye nyumba wenu wana habari gan huko maana dah.
Hujatumalizia story asee ya like jitu.. Kama vp anzisha Uzi mpya kumalizia ile story aseeMimi usafi ilikuwa 10, maji 10, umeme 20, taka kwa mwezi 5000
Mbona nyie mnaafadhali. Usafi 20,000, maji 20,000 umeme 50,000. Na tunaishi kibachela. Hutaki hamaMimi usafi ilikuwa 10, maji 10, umeme 20, taka kwa mwezi 5000