Msijiulize sana, ni kweli GINIMBI alikuwa na jeneza kwenye chumba chake cha siri

Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye alikufa katika ajali ya gari Jumapili alikuwa ameripotiwa kununua jeneza lake wiki moja kabla ya kifo chake.

Kulingana na majukwaa ya habari ya Pindula, inadaiwa kuwa jeneza hilo lilipatikana katika moja ya vyumba vyake vya kulala kufuatia kifo chake.

Na ukweli kuhusu kifo chake ni kwambaa baada ya ajali na gari kushika moto ginimbi alifanikiwa kutoka nje ya gari, alichofanya ni kujaribu kuwafungulia milango rafiki zake wakati milango ya rolls royce ilikua imejilock basi ndipo mlipuko ukatokea na yeye akiwapo pale anaangaika kuwafungulia milango wenzie.

Hivyo habari za uzushi kua yawezekana alikosea masharti ni porojo tu, niseme upendo kwa wenzie ndio ulikua mkubwa zaidi, yeye kama yeye alishatoka nje tayari hivyo alikua na muda wa kusogea mbali zaidi na mlipuko.

Utajiri wa "jeneza" ni mzuri naupenda sababu hauna lawama.

R.I.P GINIMBI..you enjoyed life to the fullest.
Nasikia leo kwenye msafara wakupokea mwili wake moja ya gari yake ilikuwa ikiwaka moto
 
Na kwanini uwafanyie hivyo ..sio vizuri. We we unainjoi maisha na kuwasetia mipango waliobaki walio na umuhimu kwako , ikifika muda wa kuondoka , unaondoka, shida ni nini kwani , ukiokoka ndio hautakufa?! Kufa mapema au kuchelewa kufa vyote sawa
Sio kwamba unakufa, wanakuchukua kwenda kutumikia adhabu sisi tu ndo tunakuwa hatukuoni ktk macho ya kawaida ila freemason wengine wanakuwa wanakuona ka kawa ...
 
Sijui kwanini huwa tanaamini kuwa na pesa lazima uwe mchawi aubnshirikina huku ni kukosa kufikiria kwa weledi.... Tuchape kazi tuwe wabunifu pesa zipo ndugu zangu bila hata ndumba
 
Vyema tu. Imekua kasumba kwa MTU mwenye pesa akifa, maskini wanakua kama wanashangilia hivi, adhabu ya kaburi ataipata kila mmoja, haijalishi wewe kama unakula kwa jasho au hauli, cha muhimu ulipokua hai uliishi kwa matakwa yako na uamuzi wako, kàma ni maisha ya kimasikini ni uamuzi wako, maisha ya kitajiri ni uamuzi wako.

Kabisa mkuu

Ni jambo la ajabu sana katika jamii zetu za kiafrika. Utajiri ni maamuzi kama maamuzi mengine
 
NAMNUKUU MWANA JF MMOJA
Nyumba ya mganga na nyumba ya Chifu haipungukiwi ni msemo wa wazee huo. Umemtibu mtu analeta shukrani kwa alichofanikiwa.
Sifa za Mganga wa kweli.
Mganga wa kweli hakutozi hela nyingi kuliko alivyopangiwa na mizimu iliyompa uganga maana uganga wa kweli lengo lake ni kusaidia jamii, unganga ni jadi na lengo lake ni kuisaidia jamii toka enzi na enzi ni bahati mbaya sana kuufanya uganga kuwa dili la kuwaibia watu, hii sio lengo la uganga kwa asili yake.

Uganga wa kweli mara nyingi ni ule unaotokana na kurithi toka kizazi mpaka kizazi sio ule wa kujifunza,ukanjanja, udii na ulozi wa kuwatupia watu mabalaa kwa lengo la waje uwatibu.

Mganga wa kweli lazima atakukurahishishia shida ulionayo na kama imemzidi uganga atakwambia au atakuposti kwa wajuaji zaidi wa shida yako (Waganga wanafahamiana kwa uwezo na nyanja kama walivyo walozi).

Mganga wa kweli atakutibu ili upone ndo akufaidi zaidi kwa shukrani na zawadi na uaminifu wako kwake na ndio faida ya uganga wa kweli. Huyu mganga hutamwacha kamwe kwenye kulingana na alivyotatua shida yako. Kuna jangiri alijeruhiwa na nyati porini nyati alivunja vunja miguu, yule mwamba wenzie walimbeba mpaka kijiji cha jirani huko Katavi kwa mganga. Mganga akawaambia wale wenzake mje mumchukue baada ya wiki tatu muache debe moja la unga. Wenzie waliporudi baada ya wiki 3 walikuta anatembelea fimbo na akapona mifupa na akarudi kwenye ujangiri wake na akipata mnyama lazima apeleke nyama kwa Mganga.

Onyo: Nazungumzia waganga wa kweli sio matapeli wa mjini na mapropesa.

Watu wanaibiwa na wanachanganya sana kati ya Ulozi, Ugagula, Uganga na Mazingaombwe, kiini macho.

MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude
Ok ok
 
Back
Top Bottom