Orodha bado ndefu sanaaaaa, tuna akina maafisa wengi sanaaa serikalini hasa wizara ya tamisemi mfano akina jummanne sajini, joseph nyamhanga, na wengine akina prof chacha nyigoti huyu alikuwa marekani , dkt matoka huyu yuko chuo cha open universirty, akina mabere nyaucho,