Katika hali hii sijui kama kuna kazi itafanyika mi nadhani hii ishu sio ya kweli kabisa. Kilichotokea hivi majuzi pale mamlaka ya usafiri wa anga ni dhahili kabisa kuwa sasa hivi ni mwendo wa mawaziri kufuata maneno ya makoridoni. TCAA kuna kada ya AIR TRAFFIC CONTROLLER hawa inaonyesha ndio...
Kama ndo hivi sisi wasio na ndugu na makabila yetu madogo tumekwisha. Nadhani watu wanafanyishwa interview kiini macho ila wenye ndugu hapo ndo wanaenda kupata.
Wanajamvi tayari tanesco wameishawaita wahandisi na techinicians kwa ajili ya oral interview. Kwa mtazamo wangu hapa kuna uhamiaji nyingine hapa. Kama kuna mtu ana majina ya walioitwa ayaweke hapa plz.
Wanajamvi napenda kufahamishwa juu ya upatikanaji wa kiwanja kama tangazo la viwanja lilitoka, ukalipa malipo ya awali ila mpaka sasa unakwenda mwaka wa pili toka 2012 November ila mpaka sasa hakuna lolote linalosemwa kila ukienda wanasema bado. Hawa watu wa ardhi ni shida kweli kweli maana hapa...
Mi naona HK ana haki ya kufanya au kutofanya kabisa japo kwa mtazamo anajitahidi sana. Maisha mazuri si kuzaa na kuwatelekeza watoto bali kuwapa mahitaji muhimu tofafauti na hapo ni laana tu na mwisho wa siku utabaki kuwa na lawama tu, maisha si ulitaka wewe bana!
Mfumo mbovu wa elimu yetu na elimu yetu wa kutufanya tutegemee ajira wakati viongozi wenyewe uwezo na ubunifu wa kutengeneza ajira hakuna. Vijana tumekuwa vilema wa kuajiriwa.
Ni kweli gongo yaweza kuruhusiwa na kodi ikachukuliwa maana sioni tofauti kati ya gongo na chibuku utofauti ni TBS tu basi. Na hukohuko kwenye gongo ndo askari wa maccm wanaenda kuchukua rushwa na kuwaacha wauza gongo waendelee japo kwa siri. Bangi hiyo ni noma kabisa hata akisikika kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.