Serikali yaridhia umeme kupanda Kuanzia January 2014!

Status
Not open for further replies.
85% si nisawa tu na 100% jiulize kama ulikuwa u atumia 10,000\= kwa mwezi tafuta tena 10,000/= kwa mpango huu.

Sasa hapo maisha bora yako wapi???

Ifike muda haya maswala ya gharama za maisha kama kupandisha gharama hizi ipitie bungeni
 
Dr. Idris Rashidi, na ZZK waliwashauri kununua ile mitambo ya Dpwans / Richmond mkaanza majungu meengi!! Sasa ngoja mpate cha moto!
 
katuni-itv-30-and-31-march-09.jpg
 
2mechoka kama huku mtaani kwe2 taka sh 1500 kwa mwezi sungusungu wasio onekana hata upite ucku wa manane 2000 bado umeme bado maji watoto kila siku michango shuleni tumechoka sasa 2mechokaaaaaa!
 
Dr. Idris Rashidi, na ZZK waliwashauri kununua ile mitambo ya Dpwans / Richmond mkaanza majungu meengi!! Sasa ngoja mpate cha moto!

CCM bado tu mnataka miaka mingine 5??? Nape/faizyfox tuambie mtatufanyia nini ambacho miaka 50+ hamkupata muda???
 
Serikali imeridhia TANESCO kupandish bei ya umeme kwa watumiaji wadogo vijijini kwa 40%, na kwa watumiaji wa kati bei imepanda kwa 85% kuanzia Januari 2014, hali hii inatisha sana, Je EL hauhusiki na hili sakata la bei ya umeme??

Maana tangu Richmond bei imekuwa ikipanda kumudu matumizi ambayo yanatokana na kulipa mikataba mibaya ulioshinikiza TANESCO na Serikali kuingia, Unatuua MZEE kwa michango yako ya harambeee, pesa si ndo hizi tunawalipa???

Nawasilisha
Shindwa na ulegee...Kwataarifa yako EL alisulubiwa ili kumuokoa mpenda kwenda US, ile deal ililetwa na familia, EL aliikataa kwa nguvu zote kama alivyoichinjia baharini City Water ambayo nayo ilikuwa ni ya wamiliki hawa wa Richmond, Dowans aka Symbion...
No research no wright to speak...kupanda kwa bei ya umeme ni mpango mkakati wa kuinukisha TANESCO ili baadae ionekane imeshindwa kazi hivyo kuruhusu Symbion kuichukua TANESCO kwa msaada wa watu wa Marekani! Mipango hii haikuanza juzi wala jana! Mara baada ya Symbion kukabidhiwa TANESCO umeme utapunguzwa bei na sisi mazuzu tutajikuta tunashangilia kama kawaida yetu...Mark my word...haya lazima yatimie...TISS bado wako kwenye usingizi wa pono...
 
2mechoka kama huku mtaani kwe2 taka sh 1500 kwa mwezi sungusungu wasio onekana hata upite ucku wa manane 2000 bado umeme bado maji watoto kila siku michango shuleni tumechoka sasa 2mechokaaaaaa!

mdau umejieleza kwa hisia sana,,,,pole bhana,,,
 
Shindwa na ulegee...Kwataarifa yako EL alisulubiwa ili kumuokoa mpenda kwenda US, ile deal ililetwa na familia, EL aliikataa kwa nguvu zote kama alivyoichinjia baharini City Water ambayo nayo ilikuwa ni ya wamiliki hawa wa Richmond, Dowans aka Symbion...
No research no wright to speak...kupanda kwa bei ya umeme ni mpango mkakati wa kuinukisha TANESCO ili baadae ionekane imeshindwa kazi hivyo kuruhusu Symbion kuichukua TANESCO kwa msaada wa watu wa Marekani! Mipango hii haikuanza juzi wala jana! Mara baada ya Symbion kukabidhiwa TANESCO umeme utapunguzwa bei na sisi mazuzu tutajikuta tunashangilia kama kawaida yetu...Mark my word...haya lazima yatimie...TISS bado wako kwenye usingizi wa pono...

Someone from a certain "energy angle" whispered to me on the same "signs" kuwa Tanesco "inauliwa". Dah! Kumbe huo mpango ni kweli!
 
Hapo sisi tunahangahika tu ndo uone wanajithamini wenyewe. It's like keeping the dog expecting that it will get its food from the dustbin.
 
As long ni makampuni ya kimarekani ndiyo yanayotukilimbita hatutasikia mkipaza sauti kulaani wananchi kuyalipa haya makampuni zaidi ya 700 million kwa siku...Ingekuwa ni makampuni ya China ...dunia nzima ingezizima...amakweli utumwa wa akili ni mbaya sana ...

Kuna tatizo gani kwa wewe kupaza sauti dhidi ya haya makampuni ya Kimarekani? au uhalali wa hizo sauti unategemea watu wengine?
 
Someone from a certain "energy angle" whispered to me on the same "signs" kuwa Tanesco "inauliwa". Dah! Kumbe huo mpango ni kweli!
Mkuu hiyo siyo jokes! Huo ndo mpango mzima! Hata Prof Muhongo kuwekwa pale haikuwa zali lake! Ule ulikuwa mpango mkakati uliosukwa na sasa unatekelezwa via EHM wao Muhongo et al...Symbion are here to stay kama CCM itaendelea kukaa madarakani...tegemea kifo cha TANESCO soon...
 
Shindwa na ulegee...Kwataarifa yako EL alisulubiwa ili kumuokoa mpenda kwenda US, ile deal ililetwa na familia, EL aliikataa kwa nguvu zote kama alivyoichinjia baharini City Water ambayo nayo ilikuwa ni ya wamiliki hawa wa Richmond, Dowans aka Symbion...
No research no wright to speak...kupanda kwa bei ya umeme ni mpango mkakati wa kuinukisha TANESCO ili baadae ionekane imeshindwa kazi hivyo kuruhusu Symbion kuichukua TANESCO kwa msaada wa watu wa Marekani! Mipango hii haikuanza juzi wala jana! Mara baada ya Symbion kukabidhiwa TANESCO umeme utapunguzwa bei na sisi mazuzu tutajikuta tunashangilia kama kawaida yetu...Mark my word...haya lazima yatimie...TISS bado wako kwenye usingizi wa pono...
Yeye hajawahi sema hivyo, na pia anataka urais, huoni atakuwa mtu hatari sana kwa nchi??? kama anaweza kutolewa kafara akakaa kimya je akiwa rais??? si nchi itatolewa kafara harafu atakaa kimya???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom