TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
- Thread starter
- #21
Nani alikwambia mnywa gongo hapigi kazi? Nipe tofauti ya gongo na konyagi, whisky, na viminika vikali.
Safi sana,ume mpa stahiki yake.yaani maccm huwaga hayana upeo wa kuchambua vizuri mada.