Uwekezaji wa DP world hautiliwi shaka. Lakini Waingereza ama wa Belgium hawana mkataba kama Huu wetu. Tusichanganye ufanisi na Makubaliano ya KIMANGUNGO.
Kufanya Siasa Sio Huruma ya Rais ni Takwa la Kikatiba Ikiwa mtu anadhani Rais wa Nchi ambaye ni mwenyekiti wa CCM anatoa Hisani Kwa Watu kufanya Siasa Mtu huyo Haijui CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.