Tunafosi kufananisha Maisha ya Africa na Wazungu na hapa moja kati ya sababu za kufeli.Africa by nature huwa tunaishi Kibinadam, yaani namaanisha hii tabia ya kushift misosi haiko kwenye sherehe tu ndo asili yetu Sasa mwafrika kujibagua kwa kujifananisha na Wazungu huo ni uboya.Embu tuwe na...
Nadharia hizo,wanazitengeneza Wazungu ili tuwaone Unique Pumbavu hawa.Its truth that hatuko wenyewe ila kwa Alliens tumepigwa Kama walivyopigwagwa tu wale Masoja wa Majimaji war in that error
Ndiyo Mimi naamini,wewe ujuzi wako kwenye Masuala ya kiusalama unaujuzi gani?Kama Neema alimuwasha Mpenzi wake,Kule Bar Risasi wameuwana nini kinakutia shaka kwa Mbowe wakati nayeye ni Binadam na anahulka Kama Wengine tu.
Tanzania tunakosa nini hadi tuanze kukamuana hiki ambacho hata hakikidhi Mahitaji? Kuendesha Serikali inamaana Utalii,Madini,Gas na Mengineyo alotujaalia ALLAH haviwezi kugeuka hela kwa Serikali?Kama Serikalini ni Wavivu wa kufanya kazi na kuvigeuza hivyo kuwa hela ya kununua Mafuta ya V8 huku...
Kiukweli kwa ninavyoijua thamani ya Mama,Polisi naomba mniorodheshe kwenye nguvu kazi yenu.Vijana tushachoka Usenge NEO-COLONIALISM.Wagawanye ili uwatawale ndo formula ya Wazungu Sasa Mama Samia Piga kazi vijana wengi tz tupo nyuma yako Mama yetu.Polisi nawashauri,hasa Mijini ambako waanzisha...
Kuwa na adabu ni Muhimu. Kwa aliyekaa jando hawezi kukosa adabu mbele ya Mkubwa wake kiasi hichi acheni kuendekeza upumbavu wa kiboya hivyo. Mama Samia Anawazidi umri kiasi kikubwa sana mkishindwa kumheshimu kimamlaka basi Kumheshimu kwa Umri wake. Na yeye ni mtanzania pia na anahaki ya...
Halafu hili sijui nalionaga Mimi tuu,kuna baadhi ya watu midomo yao imekaa flani hivi, yaani funiko la mdomo wa juu unakuwaga mnene hivi Kama Sokwe type flani,jamaa huwa wanakuwagaje sijui.Yaani ni karaha kwelikweli.Halafu Wengine wanakuwaga na ngozi flani hivi kavu hivii aisee usiwe na urafiki...
Jiulize Walimu wa Secondary kipindi fulani walivyokuwa wanalalamika Kupelekewa wanafunzi hawajui kusoma itakosekana vipi Graduate kuandika Mararamiko badala ya Malalamiko?
Hivi ndivyo vyakula vya ubongo wa Great thinker sasaa.Wakati huu China inapotuongelea katika fikra za kutukwamua kwani na Africa yenyewe inaelewa?Inasemaje pia! Africa inafanyaje kukazia hapa walipoanzishiwa kujielewa? Africa tunapiganiwa huko,sisi yaani kichwani yanapitapita mengi lakini ukija...
Alisema tumpe miezi minne ajipange.Sasa ndani ya Ofisi hata hajakaa sawa mmeanza kelele aje nje.Mwacheni Mama aweke sawa Kwanza Ofisi.Mkumbuke hii Ofisi hajakabidhiwa na Hayati,kwa hiyo kuna tofauti kati ya kukabidhiwa Ofisi na kuikuta Ofisi.Orientation Kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.