Tunataka zanbibar yenye mamlaka yake kamili nje na ndan ya nchi, na tanganyika (mrima) iwe na mamlaka yake kamili ndan na nje ya nchi... Muungano wa mkatabaaaa... Zanzibar iachiwe ipumueeee...
Habar nduguzanguni... Mimi nipo arusha ukweli ni kwamba kwenye kanisa kulikuwa na sintofaham baina ya aoo viongozi.... Ili kutaka uongozi ndipo mmoja wa viongoz baba askofu (jina linahifadhiwa) kuamuru vjana waovu kufanya tukio ilo la kiovu na kihalifu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.