Recent content by Mungik

  1. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata (CCM) ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe

    Kama imethibitika ameuwa anastahil adhabu aliopewa. Meanwhile Samia Suluhu Hassan ameuwa maelfu na anaendelea kuuwa anadunda na kutafuta sababu ya kuwasingizia wenziwe ili yeye aendelee kuwa huru. Hakika Hakim ni Allah peke yake.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi wapi nitapata sehemu ambayo wanafanya huduma ya kupandikiza mbegu za uzazi kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke

    Hapana pesa anazo ni mtu mkubwa serikalini siunajuwa sasahivi kwenda nnje vikwazo.China nao sio wakuwaamini wanaweza kuwekea Kondoo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Kuna jamaa kamuita mtu poli huyo..anadanganya yupo Israel..angefika huku asingewathamini hawa watu ka anavofanya.
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polepole alisema baada ya Uchaguzi maridhiano ni utapeli kataeni maridhiano. Je, mnataka kumsaliti Polepole?

    Bab kubwa ndio msimamo wa Kombo huo anavomdanganya Samia
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Hajali na usimamizi mbovu. Hebu waangalie nchi zilizoendelea wanafanyaje kuepuka ajali
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania, Tundu Lissu akitoka gerezani mko tayari kuridhiana?

    Kwa sasa sisi waislaam hatuwasikiizi mashekhe tena hiyo ilikuwa kipindi cha Cuf .Huwezi linganisha Kitima anaetetea Haki na hao kina Aboubakar Zuberi wachumia tumbo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Timu nzima ya Ethiopia wametoroka na kutokomea nchini Sweden

    Wanajuwa tofauti ya maisha iliopo kati ya Africa na Ulaya sio kama wabongo wa bara,wazanziber pia wangefanya hivo.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

    Umri mkuu,ushamuona lakini? Watu wa Umri wake hawaamini kama inawezekana.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Venezuela yajiondoa Rasmi ICC. Ni muda muafaka kwa Tanzania nayo kujiondoa kutokana na chombo hicho kukosa muelekeo na kukumbwa na kashfa mbalimbali

    Sasa wewe uhodari woote huu wa kumsifia raisi ,kwako hana baya hata moja..kwanini usianzishe tv ukajulikana kama vile kina Maria Salungi si unaamini unachokifanya ndicho kuwa wazi basi hivi huoni sifa zote hizi ukiwa unajificha?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kijana msomi aliyerudi kijijini afanye nini ili aheshimike?

    Nataka kufuga kambale bro niambie chakura gani nitumie.bwaww lipo la Asili nahitaji kuliongezea tu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naona mwili nao umeanza kumkataa. Watanzania wamebakia na kete moja tu.....

    Usiwabisheie sheikh wangu ndugu ktk iman wewe ni muislaam,tukio alilofanya mkuu ni khatari mauwaji yale atajitetea vipi mbele ya Allah. Ngoma ngumu hii Mufti bora kumuachia zigolake kuliko kujifanya unamtetea Allah atakuunganisha na wewe are you ready for that. Mzee ruhsa anakumbukwa kwa wema...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wazungu kwa sasa naona washaanza kushtuka

    Kama unakusudia uislaam hamna cha uzungu wala nini dunia itakuwa hivo nenda Japan Scandinavia wasioamini chochote wao kura na hela, sasa miongoni vizazi vyao ndio wanakuwa waislaam, mtu anaitwa Nelson Knut Peter blonde hairs,Utampeleka Pakistan?? Kama upo bongo huwezi juwa nini kinaendelea saga...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Natangaza kuidharau hotuba yote ya Emmanuel Nchimbi aliyoitoa leo kwa Wananchi, Imejaa ghiliba na uongo

    Sasa bosi wenu mbona anasema pambanieni au hujamsikia?
  14. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI IMF Withdraws Statement on $443.9 Million Disbursement to Tanzania

    Ameelewa sana,sasa sijui hiyo OK vipi?? Kwani Kombo anasemaje?
Back
Top Bottom