Ila hawa wakristo wazungu mbona wapo kinyume cha wakiristo waagfrica hawashangilii waislaam kuuliwa kwanini??? hata inapokuja kuwahurumia wanawahurumia waarabu japo ni waislaam kuliko sisi waafrika wakristo wenzeo da inauma sana.
Hiyo bei ya 25000,haina tofauti na bei ya hapo Sweeden kwa kg,angalia kwenye maduka ya waarabu,krona 130,120kg na zimesafilishwa toka zilikotoka ,na good treatment,hizo unazozitaka kila hatuwa imefanywa kwa mkono,ukilenga uziuze hautaruhusiwa kuziingiza hapo Malmo watazimwaga. wenye akili...
Chakura ya waarabu hiyo waswahili ni kuwaangalia kwenye luninga tu ,wabongo kura nguruwe poli. Magufuli aliruhusu kuwe na bucha za hizi nyama watu wainjoy nchi yao ila ndio hivo tena wakati wake ulikwisha.
Hiyo Bukina du, kiongozi mda mfupi mabadiriko makubwa hivi anatoa wapi pesa,mbona wenziwe kina Kombo wanashinda kubembeleza wazungu.. Mwinyi anaroho nzuri Zanziber itabadirika huyu Samia analipiza kisasi wabara waliidhulumu Zanziber miaka mingi sasa atawaonesha. yalihitajika mapinduzi hakika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.