Recent content by Mungik

  1. M

    SI KWELI Jeshi la Marekani limetangaza kifo cha Benjamin Netanyahu

    Ile kahawa sasa itakuwaje?? Na vile vidole
  2. M

    Katavi: Ujenzi wa meli nne unaoendelea katika Bandari ya Karema Wilaya ya Tanganyika, umefikia pazuri

    Watu wa Mafia wameikosea nini hii nchi mpaka Leo hakuna meli au ndio Zanziber itapata upinzani?
  3. M

    Iran Kisha Fanya Majaribio ya Nuclear

    Ila hawa wakristo wazungu mbona wapo kinyume cha wakiristo waagfrica hawashangilii waislaam kuuliwa kwanini??? hata inapokuja kuwahurumia wanawahurumia waarabu japo ni waislaam kuliko sisi waafrika wakristo wenzeo da inauma sana.
  4. M

    KOROSHO KOROSHO KOROSHO TSHS 25,000 PER KGS GRADES NO. 1 DIRECTLY FROM MTWARA-TANDAHIMBA 0615326654(Whatsapp and Normal Calls)

    Hiyo bei ya 25000,haina tofauti na bei ya hapo Sweeden kwa kg,angalia kwenye maduka ya waarabu,krona 130,120kg na zimesafilishwa toka zilikotoka ,na good treatment,hizo unazozitaka kila hatuwa imefanywa kwa mkono,ukilenga uziuze hautaruhusiwa kuziingiza hapo Malmo watazimwaga. wenye akili...
  5. M

    Nahamu sana ya kula mishkaki ya swala, nitapata wapi duka la Nyamapori

    Chakura ya waarabu hiyo waswahili ni kuwaangalia kwenye luninga tu ,wabongo kura nguruwe poli. Magufuli aliruhusu kuwe na bucha za hizi nyama watu wainjoy nchi yao ila ndio hivo tena wakati wake ulikwisha.
  6. M

    Waziri wa Mambo ya Nje, Thabit Kombo akutana na Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025

    Sio kwa huyo Chande angekuwa yule alikuwa Mkaguzi wa pesa alieondolewa na Magufuli mwenye khofu ya Mungu angetenda haki.
  7. M

    Nini kinaendelea Mahakama ya ICC na Tanzania?

    Unachonishangaza mimi ile bidii yako ya kutaka haki Palestina imeenda wapi?
  8. M

    Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    Hiyo Bukina du, kiongozi mda mfupi mabadiriko makubwa hivi anatoa wapi pesa,mbona wenziwe kina Kombo wanashinda kubembeleza wazungu.. Mwinyi anaroho nzuri Zanziber itabadirika huyu Samia analipiza kisasi wabara waliidhulumu Zanziber miaka mingi sasa atawaonesha. yalihitajika mapinduzi hakika.
  9. M

    Samia usiogope magereza ya the hague kuna milo mitatu sio kama bongo

    Sio tu milo hata baba wataifa Kikwete akimtembelea anaruhusiwa kupiga ndonga.
Back
Top Bottom