Kama imethibitika ameuwa anastahil adhabu aliopewa.
Meanwhile Samia Suluhu Hassan ameuwa maelfu na anaendelea kuuwa anadunda na kutafuta sababu ya kuwasingizia wenziwe ili yeye aendelee kuwa huru.
Hakika Hakim ni Allah peke yake.
Kwa sasa sisi waislaam hatuwasikiizi mashekhe tena hiyo ilikuwa kipindi cha Cuf .Huwezi linganisha Kitima anaetetea Haki na hao kina Aboubakar Zuberi wachumia tumbo
Sasa wewe uhodari woote huu wa kumsifia raisi ,kwako hana baya hata moja..kwanini usianzishe tv ukajulikana kama vile kina Maria Salungi si unaamini unachokifanya ndicho kuwa wazi basi hivi huoni sifa zote hizi ukiwa unajificha?
Usiwabisheie sheikh wangu ndugu ktk iman wewe ni muislaam,tukio alilofanya mkuu ni khatari mauwaji yale atajitetea vipi mbele ya Allah. Ngoma ngumu hii Mufti bora kumuachia zigolake kuliko kujifanya unamtetea Allah atakuunganisha na wewe are you ready for that. Mzee ruhsa anakumbukwa kwa wema...
Kama unakusudia uislaam hamna cha uzungu wala nini dunia itakuwa hivo nenda Japan Scandinavia wasioamini chochote wao kura na hela, sasa miongoni vizazi vyao ndio wanakuwa waislaam, mtu anaitwa Nelson Knut Peter blonde hairs,Utampeleka Pakistan?? Kama upo bongo huwezi juwa nini kinaendelea saga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.