Recent content by Mungik

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Wee mzee vipi shida sio kiswahili majibu hayaendani na swali,muwe waangalifu kwenye utetezi wenu msipoangalia Makonda atakuwa hawawekei bando
  2. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Si unipe ujanja niwe kama wewe mkuu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Kumbe wewe ndio muuzaji? Sijaangalia jina mkuu!!! Mambo ya IST yanafuata nini?? kwani hizo ni gari au bajaji??? Umekuwa mkali, ueleze uma hapa changamoto zake,weka picha ya gari bei ndio kuuza, sasa wewe unataja aina ya gari tu ndio biashara gani hiyo??? Uzoefu wangu wabongo sio wakweli,kununuwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Kupaki ni body lake namna ilivokaa huu ni mtazamo wangu,gari ya watu watano pamoja na dereva inaonekana kama min bus,kuhusu kulipuka story zipo humu.kainunue bro.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Kivipi hakufukuti huko jikoni? Ila Nchimbi hamtamuweza sio Membe huyo, wacha tuone waganga wa vitabu toka Tanga na Tunguli labda machozi ya wajane na yatima yanaenda futika,hujaenda Russia??
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Upendo haupo kwetu sisi ndio tatizo lilipo,angalia Zanziber linapokuja suala la uzanziber hamna Kafu sisim au act woote lao moja. Salum Mwalim Jusa Omo unawasikia hii leo? Nchimbi jeshi la mtu mmoja hamna Kabudi wala nani, damu ya kiarabu upendo wao kwa wao. Njoo huku kwetu sasa utamkuta Lukasi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Samahani kama nimekukwaza bro,mnunuzi pia anastahili kujuwa ukweli hujui pesa kaipataje,habari za kuwaka zimo humu humu zilijadiliwa, sasa Lorry utaenda nalo mlimani City au City Mall??? anyway maamuzi ni ya mnunuzi aliuliza changamoto na hizo ndio changamoto zake.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Live on TBC: Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Paskali unatoka sehem moja na Kabudi? Haujulikani unasimamia nini? Wasukuma ni majasili wanakawaida ya kusimamia wanachokiamini,kama unajinasibu na uskuma fualilia DNA ujuwe ukweli uafanana mno misimamo yako na Kabudi,bendera ffff
  9. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Kuwaka moto,na body kubwa mtihani kwenye kupaki
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mkwara wa Marekani: Eti Samia Suluhu anataka kumwaga Manyanga

    And your point was????
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mkwara wa Marekani: Eti Samia Suluhu anataka kumwaga Manyanga

    Wanamuamini anajuwa English kwa vile alisomea Ujerumani, na kujifanya kuigiza lafudhi ya Mahigah almarhuum waliofagiliwa na kina Kikwete.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Kabisa linapokuja swala la kuitetea Zanziber, wanaungana wote kuwa wamoja,huwezi kiona mibara,kina Kabudi wakilifanya hili.
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Mwaka huu tutaanza kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (Oil Refinery)

    Yupo busy na Makonda kuitangazia dunia ili ijuwe Tanzania kuna amani sio brah brah za wanaoitwa wasioitakia mema, Kabudi na genge lake wangekuwa na upendo na nchi hii wasingekubari kupelekeshwa na kina Kombo.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    Wakati huo huo Mwaipopo anatakiwa milion 10 aokoe maishayake tena muhimbili pesa hamna anaingia mitandaoni kujaribu waomba wenye iman wamsaidie,vipaumbele hivi.
Back
Top Bottom