Kumbe wewe ndio muuzaji? Sijaangalia jina mkuu!!! Mambo ya IST yanafuata nini?? kwani hizo ni gari au bajaji??? Umekuwa mkali, ueleze uma hapa changamoto zake,weka picha ya gari bei ndio kuuza, sasa wewe unataja aina ya gari tu ndio biashara gani hiyo??? Uzoefu wangu wabongo sio wakweli,kununuwa...
Kupaki ni body lake namna ilivokaa huu ni mtazamo wangu,gari ya watu watano pamoja na dereva inaonekana kama min bus,kuhusu kulipuka story zipo humu.kainunue bro.
Kivipi hakufukuti huko jikoni? Ila Nchimbi hamtamuweza sio Membe huyo, wacha tuone waganga wa vitabu toka Tanga na Tunguli labda machozi ya wajane na yatima yanaenda futika,hujaenda Russia??
Upendo haupo kwetu sisi ndio tatizo lilipo,angalia Zanziber linapokuja suala la uzanziber hamna Kafu sisim au act woote lao moja. Salum Mwalim Jusa Omo unawasikia hii leo? Nchimbi jeshi la mtu mmoja hamna Kabudi wala nani, damu ya kiarabu upendo wao kwa wao. Njoo huku kwetu sasa utamkuta Lukasi...
Samahani kama nimekukwaza bro,mnunuzi pia anastahili kujuwa ukweli hujui pesa kaipataje,habari za kuwaka zimo humu humu zilijadiliwa, sasa Lorry utaenda nalo mlimani City au City Mall??? anyway maamuzi ni ya mnunuzi aliuliza changamoto na hizo ndio changamoto zake.
Paskali unatoka sehem moja na Kabudi? Haujulikani unasimamia nini? Wasukuma ni majasili wanakawaida ya kusimamia wanachokiamini,kama unajinasibu na uskuma fualilia DNA ujuwe ukweli uafanana mno misimamo yako na Kabudi,bendera ffff
Yupo busy na Makonda kuitangazia dunia ili ijuwe Tanzania kuna amani sio brah brah za wanaoitwa wasioitakia mema, Kabudi na genge lake wangekuwa na upendo na nchi hii wasingekubari kupelekeshwa na kina Kombo.
Wakati huo huo Mwaipopo anatakiwa milion 10 aokoe maishayake tena muhimbili pesa hamna anaingia mitandaoni kujaribu waomba wenye iman wamsaidie,vipaumbele hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.