Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

Gerezani hadi chamanzi mbande kule... Sijui ni km ngapi? Ila nilitembelea
 
Huwa nafanya sana hizi hasa weekend nikiwa kama meditation yangu. Natembea Hadi. Nje ya mji huko siku nzima.... It's healing
 
Natembea mara kwa mara ila sasa hivi nimeongeza kwenda mbali zaidi jumapili nilienda 21km na kurudi 21km siku nikibeba mtoto kwenye mabega naenda na kurudi 8km tu..
 
Nataka nitembee ngaramtoni ya juu bara bara ya East Africa mpaka USA river kupitia Njiro sijui ntatoboa kwa muda gani hao wa baiskel tu wanachoka balaa..
 
1000016631.jpg
 
Siku moja nimetembea mpaka Kibaha kwa mguu halafu nikarudi hapa kwa mguu.
Nimefika nyumbani saa tano usiku .

Labda ningetembea zaidi, lakini nilimsimulia yule rafiki yangu(who happened to be a psychiatrist) he threw water on all my plans.

One good thing about all this mad exercising is that you die quickly.( For those of us who want to die quickly).

Umewahi kuwaona watu wanaishi maisha ya dhiki na unatamani wangekufa miaka mitano iliyopita?

But that is for them to decide. Don't decide for them.

Kwa sababu yanatokea matatizo siku hizi watu wanasema," Huyu albino,anateseka na jus.Tukimuua nadhani tutakuwa tumemfanyia wema tu"
 
Back
Top Bottom