Recent content by mungelehumphrey

  1. mungelehumphrey

    PICHA: Mkutano wa Waislamu Mtwara wakipinga gesi isiende Dar es Salaam (leo)

    Mimi Mtwara nawasapoti kwa kukomalia hilo maana haiwezekani kila kitu kiwe Dar mikoa ya kusini imesaulika sana waachwe na gesi yao
  2. mungelehumphrey

    Abambwa akibaka Mbuzi Laivuuu

    Aitwe shehe au padri awafungishe ndoa.
  3. mungelehumphrey

    Shinyanga: Kiongozi wa CHADEMA aumizwa vibaya, akimbizwa hospitali

    Ngoja tuone DCI atawafanya nini ccm.
  4. mungelehumphrey

    Picha: Nyumbani kwa The Late SACP Liberatus Barlow

    Pole wote kwa msiba lakini mazingira ya kifo yana utata huyo mwanamke ni mke wa mtu au vp hilo nalo ni muhimu kujua.:juggle:
  5. mungelehumphrey

    Wafanyakazi wa Migodi Kanda ya Ziwa watangaza Vita na Serikali

    Kwanza naunga mkono 100% maana kama serikali imeishiwa watuambie lakini siyo kung'ang'ania pesa zetu hiyo miaka 55 nani atakuwepo kwa kizazi hiki cha sasa kwanza kazi za migodi ni risk tupu mda wowote unaumia au kufukuzwa kazi yaani waache mchezo kabisa na pesa za watu hata mungu atawalaani.
  6. mungelehumphrey

    Hii ndo laptop yangu, je yako ikoje???

    Oyaaa acha ulimbukeni bwana ndiyo umeweka nini hicho sasa.
  7. mungelehumphrey

    Maoni Yako: Laptop gani bora kuliko nyingine?

    Chukua apple,Dell zingine vimeo tu zitakusumbua.
  8. mungelehumphrey

    hawa ndiyo Al shabab

    Hivi kenya kweli wataweza kuwashinda hao jamaa wa al shaabab maana wanaonekana wana mtandao mkubwa sana wa kujilinda na bahati mbaya kenya ina wasomali wengi sana.
  9. mungelehumphrey

    Maj Gen SAMWEL NDOMBA - Mnadhimu wa Jeshi

    Lut Gen Samwel Ndomba big up kwa kupanda cheo na kuwa mnadhimu mkuu wa jwtz.
  10. mungelehumphrey

    Mwonekano wa Lulu sasa

    Lulu huko jela anakaa VIP nini iweje anenepe hivyo kuna kitu siyo bure jamani maana watu wengi tunajua jele ni mateso sasa kwa lulu imekuwa tofauti.
  11. mungelehumphrey

    mwenye macho aambiw tazama,kwa wale waliotaka kuona nanii ya wema,oneni

    wasanii wetu bongo wanatutia aibu kweli kukaa uchi.
Back
Top Bottom