Kwanza naunga mkono 100% maana kama serikali imeishiwa watuambie lakini siyo kung'ang'ania pesa zetu hiyo miaka 55 nani atakuwepo kwa kizazi hiki cha sasa kwanza kazi za migodi ni risk tupu mda wowote unaumia au kufukuzwa kazi yaani waache mchezo kabisa na pesa za watu hata mungu atawalaani.
Hivi kenya kweli wataweza kuwashinda hao jamaa wa al shaabab maana wanaonekana wana mtandao mkubwa sana wa kujilinda na bahati mbaya kenya ina wasomali wengi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.