Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
Sina uhakika na hilo, naomba Ab-Titchaz,atupe ufafanuzi kidogo
Yule Shekhe marehemu alikua Mkenya lakini sera za udini wa Al-Shabab ndizo zilizomfanya avuke mpaka.
Sina uhakika na hilo, naomba Ab-Titchaz,atupe ufafanuzi kidogo
Yule Shekhe marehemu alikua Mkenya lakini sera za udini wa Al-Shabab ndizo zilizomfanya avuke mpaka.
Karibuni kwa Yesu wangu jamani,mambo hakuna kabisa!Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya