Team Lowassa wazidi kupigwa chini ubunge CCM

Team Lowassa wazidi kupigwa chini ubunge CCM

Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.

Pindi Chana hajawahi kuwa team Lowassa..... Nchimbi hajagombea popote.... Tafuta lingine
 
Yaani wabunge wa magamba na vibaraka wao ni wapuuzi balaa
 
wengine wasiotakiwa kurudi bungeni ni pamoja na Ummy mwalimu, mwigulu nchemba, murtaza mangungu hawa ni baadhi ya wabunge ambao ni adui kwa usitawi wa taifa la Tanzania

Ummy amepita kwa kishindo kura za maoni.
 
wengine wasiotakiwa kurudi bungeni ni pamoja na Ummy mwalimu, mwigulu nchemba, murtaza mangungu hawa ni baadhi ya wabunge ambao ni adui kwa usitawi wa taifa la Tanzania

Hapo kwa Mwigulu umedanganya labda kama una hila binafsi
 
Hao waende chadema apostles of Mangi kuna maungamo bila malipizi.
 
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.
Hawa uliowataja ni maadui wakubwa sana wa Lowassa! (Hao kina mama waliobwagwa)
 
Mwiguli hana neno. Anawajibika sana kikazi na mipango yake ya maendeleo angalau inaingia akilini.

take 10/10; Mwigulu Is a more sane and sober Person than He was previously!!!!! namtakia heri arudi mjengoni na penginepo serikalini, ameanza kuyaona maisha katika mwanga bora zaidi, anaweza Sasa kulisaidia taifa.
 
take 10/10; Mwigulu Is a more sane and sober Person than He was previously!!!!! namtakia heri arudi mjengoni na penginepo serikalini, ameanza kuyaona maisha katika mwanga bora zaidi, anaweza Sasa kulisaidia taifa.
Reservations. . . . .,. he, still is a politician. . .
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kuna kuherehere Saidi Mkumba wa sikonge, huyu hatakiwi kabisaaaaaaaaaa, jamaa hafai kabisa.

Huyo said hata akipita kura za maoni hauwezi mziki wa Magdalena sakaya
 
Pindi Chana ana udugu wa kuunga na Seth wa Escrow kule Iringa na ndo Engineer wa kukusanya michango ya Beneficiaries wa Escrow kusaidia Chama
 
Yule dada mlevi vipi amepita jamani?
sijui mshana.
 
Tutawapokea Chadema hamna tatizo Chadema ni kama Kanisa hamna shida.
 
Jamani kuna mzigo usione bebeka wilaya ya mwanga kilimanjaro ahad kibao miaka kumi sasa hakuna cha maana alichofanya. Huyu ni Jamani Maghembe sijui huo u Prof aliupataje? Kwa kweli tumemchoka hata kumuona huyu mtu sitaki, maji, barabarani, hospitali na huduma zingine hakuna kimya Ni usanii tu na maneno mengi.
 
Nimefurahi sana anguko la Pindi Chana...alichangia sana kuharibu mchakato wa katiba mpya...

Nitafurahi sana na wafuatao wakikatwa:
1: Amsumpta Mshama
2: Nchambi
3: Lusinde Kibajaji
4: Nkamia
5: Chenge
6: Wasira
7: Tibaijuka
8: Sita
9: Kawambwa
10:Magembe

Tafakari...
 
Back
Top Bottom