Nmeitumia mwaka uliopita na ilikuwa poa sana ila saiz nlilipa 3000 mpka Leo password [emoji360] sijapewa ila wakikupa tu password bonge la app yaani utainjoi
Bila kupoteza muda, naomba nifafanuliwe na kunielewesha juu ya hii biashara mfano
Mtaji wake ni sh ngapi?
Malengo Kwa siku au Kwa wiki sh ngapi?
Changamoto zake ni zipi
Na mengine ya ziada kama yapo naomba tena wajuzi wa mambo mnisaidie
Npo Chunya ni boda boda tu ila huwa naagizwa sana mercury na nimeona watu wana piga pesa ila kwangu ugumu ni wapi napata mercury nile faida
Kwa kilo ni mpaka 320000-350000
Kok au kizipo cha soda 20000-30000
Tatizo ni upatikanaji wake tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.