Natafuta intern au kazi katika kada ya information technology

Sasa nikuambie kitu good software developer hawatafuti kazi....wanatafutwa tena walio na skills ulizoandika hapo ndo hot cakes
Na ndio maana sijasema mimi ni good developer sijasema ni experience developer sijasema mi ni expert kweny izo skills bado nipo najifua wakati najifua ndo nikataka nipate sehem ya kupate experience zaid ndo lengo la badiko langu siwez kukaa lazima ni hangaike ili nipate chochote......ila naona wew upo kwajili ya ku prove wrong sawa umefanikiwaa
 
Hongera sana kijana kwa level yako umejitahidi sana angalau kugusa mambo walau uwe valid kwenye soko la ajira nakuelewa sana na hongera sana kwa jitahada zako, so far umefanya vema sana kama wadau wengine walivyoandika wala usione kama umekosea uko kwenye learning process kuna mambo mengi utapitia.
Nilichogundua kwako ni mtu unayependa kujifunza na kwenye ulimwengu wetu wa technologia hii ndio skills muhimu kuliko zote maana mambo yanabadilika sana.
Endelea kujifunza na kutafuta fursa kama hivi hakika utapata.
 
Can he/she prove it? Kuna kijana mmoja tulimchukua hapa ofisini kutokana na ujuzi aliyokuwa ameandika kwenye CV yake tukamchukua kumbe hamna kitu yaani hata kuandika just simple code ni shida ila ukiangalia CV yake imeshiba....Ndo maana napata wakati mgumu kuona skills alizoziandika hapa halafu just anatafuta intern inawezekana uwezo wake sio huo alioandika hapo
Hapa anachojaribu kukuonesha ni kwamba yeye kuna vitu anajua katika hivyo alivyotaja usimuone kama ni expert kwa maana ndo kwanza katoka chuo.Nadhani kama mwenzetu umesoma hapa tz hili si jambo geni alichotaja hapo juu ni vitu vinavyofundishwa katika course ya information systems.

Kama utakuwa unataka kumsaidia mwenzetu basi unaweza kumuuliza chochote katika hivyo alivyovisema ukiona unaweza tembea naye itakuwa bora lakini akishindwa basi na yenyewe sio shida.Kwamfano kasema kwenye programming amsema anajua Js,php nadhani na Java so kama unahitaji mtu wa hivyo mcheki uone kama kuna kitu anaweza.Kataja pia na framework anazojua vile vile kakwambia kwenye networking kuna kitu anacho.

Kuhusu wanoulizia project zake nadhani watu wanajaribu kujitoa ufahamu hapa.Mfumo wetu wa vyuo kila mtu anaujua ukisema akupatie project unayoitaka na wakati kamaliza tu hana mwezi sidhani kama hiyo itakuwa ni project labda unataka akadownload hiyo project.Ukitaka kujua hili jambo si jepesi wambie hapa kwamba kila mtu atupatie project zake kwenye sehemu alikobase being programming,networking,or maintenance .

Ombi langu ni kuwa mwenye uwezo wa kumsaidia afanye hivyo na asiyeweza pia sio mbaya lakini kikubwa mtu asimbebeshe mzigo wa sijui leta project au mengine
 
Hapa anachojaribu kukuonesha ni kwamba yeye kuna vitu anajua katika hivyo alivyotaja usimuone kama ni expert kwa maana ndo kwanza katoka chuo.Nadhani kama mwenzetu umesoma hapa tz hili si jambo geni alichotaja hapo juu ni vitu vinavyofundishwa katika course ya information systems.

Kama utakuwa unataka kumsaidia mwenzetu basi unaweza kumuuliza chochote katika hivyo alivyovisema ukiona unaweza tembea naye itakuwa bora lakini akishindwa basi na yenyewe sio shida.Kwamfano kasema kwenye programming amsema anajua Js,php nadhani na Java so kama unahitaji mtu wa hivyo mcheki uone kama kuna kitu anaweza.Kataja pia na framework anazojua vile vile kakwambia kwenye networking kuna kitu anacho.

Kuhusu wanoulizia project zake nadhani watu wanajaribu kujitoa ufahamu hapa.Mfumo wetu wa vyuo kila mtu anaujua ukisema akupatie project unayoitaka na wakati kamaliza tu hana mwezi sidhani kama hiyo itakuwa ni project labda unataka akadownload hiyo project.Ukitaka kujua hili jambo si jepesi wambie hapa kwamba kila mtu atupatie project zake kwenye sehemu alikobase being programming,networking,or maintenance .

Ombi langu ni kuwa mwenye uwezo wa kumsaidia afanye hivyo na asiyeweza pia sio mbaya lakini kikubwa mtu asimbebeshe mzigo wa sijui leta project au mengine

Nimemuiza kwenye java anaweza fanya nini? Hajajibu kuna nafasi ya developer hapa ofisini kwetu kwa developer wa java
 
Nimemuiza kwenye java anaweza fanya nini? Hajajibu kuna nafasi ya developer hapa ofisini kwetu kwa developer wa java
Basi sawa nadhani itabidi akujibu hili kama atakuwa na uwezo basi utembee naye bahati nzuri wote tupo hapa tutaona uwezo wake na kama ni maswali ya msingi basi tunaweza muuliza wote tuone alichonacho kwenye java
 
Hapa anachojaribu kukuonesha ni kwamba yeye kuna vitu anajua katika hivyo alivyotaja usimuone kama ni expert kwa maana ndo kwanza katoka chuo.Nadhani kama mwenzetu umesoma hapa tz hili si jambo geni alichotaja hapo juu ni vitu vinavyofundishwa katika course ya information systems.

Kama utakuwa unataka kumsaidia mwenzetu basi unaweza kumuuliza chochote katika hivyo alivyovisema ukiona unaweza tembea naye itakuwa bora lakini akishindwa basi na yenyewe sio shida.Kwamfano kasema kwenye programming amsema anajua Js,php nadhani na Java so kama unahitaji mtu wa hivyo mcheki uone kama kuna kitu anaweza.Kataja pia na framework anazojua vile vile kakwambia kwenye networking kuna kitu anacho.

Kuhusu wanoulizia project zake nadhani watu wanajaribu kujitoa ufahamu hapa.Mfumo wetu wa vyuo kila mtu anaujua ukisema akupatie project unayoitaka na wakati kamaliza tu hana mwezi sidhani kama hiyo itakuwa ni project labda unataka akadownload hiyo project.Ukitaka kujua hili jambo si jepesi wambie hapa kwamba kila mtu atupatie project zake kwenye sehemu alikobase being programming,networking,or maintenance .

Ombi langu ni kuwa mwenye uwezo wa kumsaidia afanye hivyo na asiyeweza pia sio mbaya lakini kikubwa mtu asimbebeshe mzigo wa sijui leta project au mengine
Shukranii sana mkuuu umeandikaa kitu chenye uhalisi mkubwa nashukuruu kwa mchango wako unatia moyo kunyanyukaa na kuendelea kuhangaikaa.......tokea nimeweka hili bandiko baadhi wame ni prove wrong kua sina huo ujuzii.....ila ukweli sio expert kweny izo sehem ila naweza fanya jambo tukiwa chuo tunafundishwa vitu vingi ila angalauu sehem izo nilipigana nazo mfano chuo wanafundisha java pekee ila mi nilienda mbali zaidi kujifunza advance java....na bandiko langu sikusema kua mimi ni expert izo sehem ila wakati naendelea kuzidi kujifua ningepata sehem ambayo naweza shirikiana na watu ambao wapo mbali kweny hii field ntakua nimepata kitu kikubwa experience developer hawezi omba intern.... Nashukuruu sana kaka kwa mchango
 
Shukranii sana mkuuu umeandikaa kitu chenye uhalisi mkubwa nashukuruu kwa mchango wako unatia moyo kunyanyukaa na kuendelea kuhangaikaa.......tokea nimeweka hili bandiko baadhi wame ni prove wrong kua sina huo ujuzii.....ila ukweli sio expert kweny izo sehem ila naweza fanya jambo tukiwa chuo tunafundishwa vitu vingi ila angalauu sehem izo nilipigana nazo mfano chuo wanafundisha java pekee ila mi nilienda mbali zaidi kujifunza advance java....na bandiko langu sikusema kua mimi ni expert izo sehem ila wakati naendelea kuzidi kujifua ningepata sehem ambayo naweza shirikiana na watu ambao wapo mbali kweny hii field ntakua nimepata kitu kikubwa experience developer hawezi omba intern.... Nashukuruu sana kaka kwa mchango
Asante na kwako pia, kuna mdau hapa kasema wanahitaji Java developer so kama unahisi huko na kitu cha kuonyesha nadhani pitia comments zilizopita uone mtafika hatua gani.
 
Nimemuiza kwenye java anaweza fanya nini? Hajajibu kuna nafasi ya developer hapa ofisini kwetu kwa developer wa java
Kwenye java nafanya Desktop system kwa kutumia swing components ,web based system kwa sasa najifua zaid katika framework za java spring mvc ila sasa nijifua na spring boot kutokana na auto configuration zinazopatikana kweny spring boot sana sana kweny spring boot najifua kweny mambo ya REST API(Natumia spring boot, spring mvc) nipo nataka kuandaa complete system (management system) kwa lengo la kujifunza zaidi ambayo nitafanya kwa mchanganyiko wa Spring boot, spring mvc na spring data jpa sababu ndio sehem ambazo nipo najifua kwa sasa kweny java
 
Kwenye java nafanya Desktop system kwa kutumia swing components ,web based system kwa sasa najifua zaid katika framework za java spring mvc ila sasa nijifua na spring boot kutokana na auto configuration zinazopatikana kweny spring boot sana sana kweny spring boot najifua kweny mambo ya REST API(Natumia spring boot, spring mvc) nipo nataka kuandaa complete system (management system) kwa lengo la kujifunza zaidi ambayo nitafanya kwa mchanganyiko wa Spring boot, spring mvc na spring data jpa sababu ndio sehem ambazo nipo najifua kwa sasa kweny java
Sasa hizo project ndogo ndogo unazofanya wakati unajifunza weka github! Mtu kama huyo alivyoomba kazi zako hukutakiwa kumtajia kwa maneno tu, weka link ya github aone utajiongezea sifa na utaonekana sio mbabaishaji/mwanasiasa!

NB: Kama hujui kutumia github ingia youtube ujifunze!
 
Sasa hizo project ndogo ndogo unazofanya wakati unajifunza weka github! Mtu kama huyo alivyoomba kazi zako hukutakiwa kumtajia kwa maneno tu, weka link ya github aone utajiongezea sifa na utaonekana sio mbabaishaji/mwanasiasa!

NB: Kama hujui kutumia github ingia youtube ujifunze!
Sawaa nashukuruu sanaa mkuu kwa ushauri ngoja niufanyie kaziii....ni kweli sina repository yoyote GitHub....kupitia ushauri wenu kuna kitu najifunza kama hili la GitHub mini project nying nimehifazi kweny computer.....umenifungua akili shukranii sana
 
Sasa nikuambie kitu good software developer hawatafuti kazi....wanatafutwa tena walio na skills ulizoandika hapo ndo hot cakes
Kwa dunia ya sasa na soko la ajira, kauli yako inaweza kumpotosha mtu, hata uwe mzuri vipi kwenye software development kama una lengo la kuajiriwa usipotafuta kazi unaweza kujikuta unaishia kwenye frustrations...siku hizi fresh graduates wenye basic skills na portfolio ndogo ndogo za web and mobile app development wapo wengi na wanazunguka kutafuta ajira.
 
Sawaa nashukuruu sanaa mkuu kwa ushauri ngoja niufanyie kaziii....ni kweli sina repository yoyote GitHub....kupitia ushauri wenu kuna kitu najifunza kama hili la GitHub mini project nying nimehifazi kweny computer.....umenifungua akili shukranii sana
Nashukuru. Good luck!
 
Wanafamilia msinisahau kijana wenu bado sijafanikiwa kupata intern ila bado naendelea kujifua zaid nyumbani nyumbani
 
Shukranii sana kwa ushauri....ila kama umesoma vizuri bandiko langu nimesema nina uelewa katika hayo mamb na sio expert katika izo sehem spring , Laravel framework nimezisoma na najua kuzitumia sijawah fanya project kubwa na izo framework ni mini project ndomana nikaja hapa kuomba sehem nikipata intern nikutane na watu wenye experience nipate uzoefu.......tukiwa chuo tunafundishwa mamb mengi kwa miaka mi3 ila zio sehem nilizo list hapo ndo anagalua niliweka mkazo sehem izo na ajira za leo hazitaki mtu anaejua php zinataka uwe unajua front end technology, JavaScript, backend,database,rest API....kwa wew unavoona utakaa unakomaa na kitu kimoja java pekee huwezi toka lazima usome Advance java kweny ulimwengu wa sasa intakiwa uwe unajua vitu vingi ili uwe competent kweny ajira.....namimi bandiko langu nimesema naomba intern nipate mafunzo ukiwa chini ya usimamozi mfano organization inayojishulisha na undaji wa mifumo no rahisi kutumia ujuzi wako wa spring framework hata kama ni wa level ya kati kujua vitu gan wanafanya kweny industry....................namimi kwa sasa wakati naendelea kujifua ndomana nikaleta bandiko langu ilo we unaongea kwakua yawezekana ni mtu ambaye tayari ushafika mbali kweny haya mamb ila mi ndo naazaa
Umejieleza vizuri sana!
Naomba tuongee inbox...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom